Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
KabisaNi matumizi mabovu ya rasmali muda kusikiliza ripoti isiyokuwa na uwajibishwaji wowote.
Umeuliza maswali mazito mno!Mimi Huwa naishangaa jamhuri!!hivi Kuna nini huko jikoni has!?Kuna makubaliano gani hasta kati ya nyie na Rais aliepo madarakani...
Umeandika kisiasa kama wanavyotuambia viongozi wa ccm tangu uhuru .Ukiacha mihemko na hisia hasi kwa kuheshimu taaluma za kikaguzi hutakaa uwaze na kuandika mfano na ulichokiandika...
Isidingo the Need series, hiyo report ni Kwa mujibu tu wa mazoea Haina mana lolote tuzoee tuIbaki kuwa siri ya Rais na watu wake baasi , maana kiukweli pamoja na madudu yote yanayoanikwa lakini hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua...
Itasomwa tena kwa kina mbele ya mediaIbaki kuwa siri ya Rais na watu wake baasi , maana kiukweli pamoja na madudu yote yanayoanikwa lakini hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua...
CCM ni Chama Cha MajiziIbaki kuwa siri ya Rais na watu wake baasi , maana kiukweli pamoja na madudu yote yanayoanikwa lakini hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua....
Matamanio ya walio wengi ni kuona wanaofanya au waliofanya ufujaji, ubadhirifu na ufisadi wa fedha za umma wanawajibishwa.Umeandika kisiasa kama wanavyotuambia viongozi wa ccm tangu uhuru .
Sasa KAZI ya Cag ni nini!?mbona ripoti hazifanyiwi kazi!!?
#lucas mwashamba aione kwenye jaladaIbaki kuwa siri ya Rais na watu wake baasi , maana kiukweli pamoja na madudu yote yanayoanikwa lakini hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua...
Au wanatuona sisi Wananchi kuwa ni Mifugo yao ya kuikamua tu.Itasomwa tena kwa kina mbele ya media
Ya leo ilikuwa ni brief tu kwa Rais
Kama tumefubaa si tutaendelea kuchezewa hivi hiviAu wanatuona sisi Wananchi kuwa ni Mifugo yao ya kuikamua tu.