Ushauri; Robertinho uwe unafanya rotation ya wachezaji ili kuepusha kupigana misumali

Ushauri; Robertinho uwe unafanya rotation ya wachezaji ili kuepusha kupigana misumali

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Hii kitu inaitesa sana simba kwa sasa, wachezaji wengi wamekuwa wakipigana misumali kwenye kikosi cha Simba but kocha na viongozi wao awajajua chanzo ni nini na solution ni nini, matokeo yake na madhara yake uwa yanaiathiri klabu kwa asilimia kubwa!

Jambo ili kwa mtazamo wangu linachangiwa pakubwa na kocha Robertinho kukariri wachezaji wake wa kuwapanga kila mechi ata kama ni ya kirafiki yeye ni mwendo wa wachezaji wale wale tu kana kwamba ndio waliosajiliwa pekee!

Ni muoga Sana wa kufanya rotation ya wachezaji ili angalau kuwapa utimamu wa mwili!

Matokeo yake ni kuviziana kwa waganga wa kienyeji ili kutafuta njia mbadala ya kupata nafasi ya kucheza!

Jambo ili kwa jicho la kawaida unaweza kuona ni poa tu lakini lina athari nyingi sana kwa upande wa klabu inatakiwa Robertinho ajitafakari sana!
 
Ataondoka kama kishingo ni mjinga sana huyo kocha, tumefurahia usajili then kocha anazingua
Mwacheni afanye kazi kulingana na taaluma yake. Hata akifanya rotation bado mtamlaumu, refer issue ya Chama. Kishingo alikuwa kocha mzuri sana, tatizo uswahili wenu ndio ukamuondoa. Sasa anaogelea katika vilabu vikubwa tu, ninyi subirini kocha kutoka sayari ya Mars.
 
Kocha wenu ana shida, timu inaongoza goli tatu mpinzani anaonekana amesha tepeta, unashindwaje kufanya sub dk 15/20 za mwisho kujenga hamasa kwa wale wasiocheza kila mechi?
Unaweza ukaanza watau mechi moja na wengine mechi inayo fuata.

Wachezaji wengi wasipopangwa mechi tatu mpaka nne mfululizo uwa ki saikolojia wanajiondoa kwenye ushindani.
Kwakua wana amini awakubaliki ata hali za mazoezini hushuka mbaya zaidi uku kwetu Afrika.
Suluhisho wengi ni kwenda kwa babu.
 
Hii kitu inaitesa sana simba kwa sasa, wachezaji wengi wamekuwa wakipigana misumali kwenye kikosi cha Simba but kocha na viongozi wao awajajua chanzo ni nini na solution ni nini, matokeo yake na madhara yake uwa yanaiathiri klabu kwa asilimia kubwa!

Jambo ili kwa mtazamo wangu linachangiwa pakubwa na kocha Robertinho kukariri wachezaji wake wa kuwapanga kila mechi ata kama ni ya kirafiki yeye ni mwendo wa wachezaji wale wale tu kana kwamba ndio waliosajiliwa pekee!

Ni muoga Sana wa kufanya rotation ya wachezaji ili angalau kuwapa utimamu wa mwili!

Matokeo yake ni kuviziana kwa waganga wa kienyeji ili kutafuta njia mbadala ya kupata nafasi ya kucheza!

Jambo ili kwa jicho la kawaida unaweza kuona ni poa tu lakini lina athari nyingi sana kwa upande wa klabu inatakiwa Robertinho ajitafakari sana!
Kama nimekuelewa vizuri ... unataka kusema wachezaji wenu ni wachawi?
 
Dirisha la Usajili CAF na TFF limefungwa RASMI niliyoshauri yafanyiwe kazi Simba HAYAJAFANYIKA, Wanasimba mjiamdae kisaikolojia
Thread starterCAPO DELGADO Start dateSep 1, 2023
Hellow Wana JF.

Dirisha la Usajili la shirikisho la Soka Tanzania TFF na Lile la CAF limefungwa RASMI Jana 31AUGUST 2023.

Yale yote niliyoyaomba na Kupendekeza yafanyike ndani ya wekundu WA Msimbazi hayajafanyiwa kazi kwa asilimia 90% Hii imeniuma mno kama shabiki mwanachama na MSOMI WA UKOCHA.

MAMBO AMBAYO NILIPENDEKEZA KWA UONGOZI NA BENCHI LA UFUNDI WAYAFANYIE KAZI NA HAWAJAYAFANYIA KAZI.

1: Kuwabakisha Kakolanya na Onyango.

2: Niliwashauri Simba Wasajili beki kama Yao Yao Beki wa kuwachallange Kapombe na Shabalala pande zote mbili.
Beki anayecheza kulia na kushoto.

3: Nilishauri kuwa na Mabeki 3 wa KIMATAIFA WA kati.
🧧Inonga.
🧧Malone
🧧Onyango

5 : Kusajili Viungo wawili 6,8.
Nilipendekeza Simba ISAJILI kati ya Bangala au efoe Novon kwenye eneo la Kiungo mkabaji CDM 6...

Pia nilipendekeza Simba Kusajili kiungo No 8.
Kiungo kariba ya Aucho Akicheza 8
Kiongozi mpambanaji BOX TO BOX

6: pia nilipendekeza WASAJILI mshambuliaji mmoja mrefu 9 mwenye uwezo Mkubwa WA kumchallange Baleke.


MSIMU WA USAJILI NIKASHANGAZWA SANA NA USAJILI UNAOFANYIKA SIMBA.
USAJILI WOTE HAUENDANI NA FALSAFA UYA SIMBA LUNYASI.

.
UAJIULIZA ANAYEFANYA USAJILI WA HAWA MAWINGA ANAAKILI TIMAMU KWELI?????????
Zaidi ya mawinga 7

Mawinga. 2023
( 1. Peter Banda.)
2. Jimyson Mwinuke.
3. KIBU Denis.
4.Said Ntibazonkiza.
5. CLOTUS Chama 10-11.
6. Aubin Kramo.
7. Essomba Onana.
8. Luis Miquesson.

HAPA wenye uhakika ni 3 tu
7.Kibu
10.saido
11. Chama.

Hili KOSA lilifanyika 2020.
Mawinga walikuwa kumi, ukiunganisha idadi Yao mchango WAO MAGOLi hayafiki hata 10.

1 Bernald Morison.
2. Perfect CHIKWENDE.
3. Hassan Dilunga.
4. Ibrahim Ajibu.10--⁷
5.peter Banda.
6.pape sackho
7. Dunkan Nyoni
8. Valentine Muhilu.
9. KIBU Denis.
10. RALY BWALYA 8-10--11.
.
UNAJIULIZA HUU USAJILI UNAFANYWA NA MTU MWENYE AKILI TIMAMU KWELI

Alex FERGASON ALIPATA kuwahi kusema
Safi Bora ya Ushambuliaji itakupa MAGOLi safu Bora ya ulinzi itakupa Mataji.

SIMBA WAMEPUUZA MAONI YANGU
MASHABIKI NA WANACHAMA JIANDAENI KISAIKOLOJIA.
KIUFUNDI SIMBA IPO HOVYO SANA. ILIAMUA KUSAJILI MAJINA NA SI WACHEZAJI.


SIKUONA SABABU ZOZOTE ZA MAANA ZA KUSAJILI.
1. GOLIKIPA AYOUB.
2. FABRICE NGOMA.
3. LUIS MIQUISSONE.
4. AUBIN KRAMO.
5. MOSES PHILI.
6. SADIO KANUTE.

Maeneo nyeti niliyowashauri WAYAFANYIE KAZI hawajayafanyia kazi.

N:B.
Simba Ina zaidi ya MICHEZO 60 MSIMU
🧧LIGI KUU MICHEZO 30.
🧧AZAM FEDERATION 6
🧧MPINDUZI +NGAO 6
🧧MECHI ZA KIRAFIKI. 6
🧧CAF CL. 6
🧧SUPER LEAGUE. 6.

MATOKEO yake.
🧧Inonga na Malone WANATAKIWA wacheze MICHEZO yote 60
Bila ADHABU Wala Majeraha.
🧧. Kapombe na shabala WANATAKIWA wacheze MICHEZO 60.
🧧Mzamiru Mgoma na kanute MICHEZO 60

NB: ANGALIZO:
NAOMBA UZI WANGU UCHANGIWE NA WATU WENYE UWEZO MPANA KIMAWAZO NA KIFIKRA NA SI VILAZA NA WAJINGA.
NGUVU moya
ACHA ITUUE
 
KIKOSI. Cha Simba ni chembaba sana
Kuanzia Backline Hadi kwa kiungo.

2. Kapombe Hana mpinzani.
3. Shabalala Hana Mpinzani.
4. Inonga Hana Mpinzani.
5. Chemalone Hana Mpinzani.
6.. kanute Hana mshindani.
8. Mzamiru Hana Mshindani.

KIKOSI NI KIPANA JUU TU WAMEJAZA MAWINGA 200.
 
KIKOSI. Cha Simba ni chembaba sana
Kuanzia Backline Hadi kwa kiungo.

2. Kapombe Hana mpinzani.
3. Shabalala Hana Mpinzani.
4. Inonga Hana Mpinzani.
5. Chemalone Hana Mpinzani.
6.. kanute Hana mshindani.
8. Mzamiru Hana Mshindani.

KIKOSI NI KIPANA JUU TU WAMEJAZA MAWINGA 200.
Kibu, Phiri, Baleke, Aisha hawana wapinzani.
 
Back
Top Bottom