FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kuna maandamano kila mahali ya kupinga kitendo cha Rwanda kuwafadhili waasi wa M23 wanaoleta machafuka yasio isha huko DRC.
Wakongo wamechoka, Tanzania tumechoka, Afrika mashariki imechoka, Africa imechoka, na hata dunia imeshachoka. Waache sasa.
Na sisi Tanzania tujiulize, silaha nzito nzito za waasi wa M23 zinapitia bandari ipi? Ya Dar es salaam au ya Mombasa? Au ni kiwanja kipi cha ndege na ni shirika lipi la ndege linalowapelekea silaha huko mpakani na Rwanda?
Na kwanini M23 kila wanapozidiwa huwa wanakimbilia Rwanda na kupewa hifadhi kama wakimbizi ?, hii ina maana gani kwa nchi moja kukomaa kuleta machafuko kwenye nchi jirani, miaka nenda, miaka rudi? Kwani madini ya mashariki ya DRC si ni mali ya Wakongo wenyewe?
Kwanini wasiachwe wenyewe waamue nani wa kumuuzia leseni za uchimbaji madini? Kwanini Rwanda amiliki kinu kikubwa cha kuchenjulia dhahabu Afrika mashariki na kati wakati hana hata mgodi mkoja wa dhahabu.
Je, M23 wakikimbilia Rwanda wafuatwe huko huko au waachwe ili wajipange na wakishapewa silaha warudi tena msituni?
===========================
Update: 19/11/2022
www.jamiiforums.com
===========================
Update: 23/12/2022
www.jamiiforums.com
Wakongo wamechoka, Tanzania tumechoka, Afrika mashariki imechoka, Africa imechoka, na hata dunia imeshachoka. Waache sasa.
Na sisi Tanzania tujiulize, silaha nzito nzito za waasi wa M23 zinapitia bandari ipi? Ya Dar es salaam au ya Mombasa? Au ni kiwanja kipi cha ndege na ni shirika lipi la ndege linalowapelekea silaha huko mpakani na Rwanda?
Na kwanini M23 kila wanapozidiwa huwa wanakimbilia Rwanda na kupewa hifadhi kama wakimbizi ?, hii ina maana gani kwa nchi moja kukomaa kuleta machafuko kwenye nchi jirani, miaka nenda, miaka rudi? Kwani madini ya mashariki ya DRC si ni mali ya Wakongo wenyewe?
Kwanini wasiachwe wenyewe waamue nani wa kumuuzia leseni za uchimbaji madini? Kwanini Rwanda amiliki kinu kikubwa cha kuchenjulia dhahabu Afrika mashariki na kati wakati hana hata mgodi mkoja wa dhahabu.
Je, M23 wakikimbilia Rwanda wafuatwe huko huko au waachwe ili wajipange na wakishapewa silaha warudi tena msituni?
===========================
Update: 19/11/2022
Mapigano yanayoendelea DR Congo kati ya majeshi ya Congo (FARDC) na waasi wa M23
Mambo magumu Bunagana,Goma,Gichuru na Beni huko kote hadi sasa moto unawaka mapigano ni makali mno .SOURCE VOA Juzi Rais wa Congo katoa amri vijana wote wa kicongo wajiandikishe jeshini kwaajili ya kuipigania nchi yao hapo sasa ndipo WAASI wa kihutu walipokuwa wanapataka huwezi amini hadi janaa...
===========================
Update: 23/12/2022
Atimaye waasi wa M 23 waamua kuondoka.
Waasi wa m23 wameanua kuondoka maeneo ya richuru uko goma kwa kile kinachodaiwa kwamba ni kuiheshimu jumuia ya nchi za Afrika mashariki, lkn Mimi sioni km hilo litatekelezwa kwa muda mrefu na m23.