majirani wote washavurugana na PK,niambie ni nchi gani aijazinguana na PK,,South Africa,Namibia,Zimbabwe,Uganda,TZ,Burundi,Congo,Angola,Malawi.ni nini lakini wanashindwa kumvagaa ndo kuna muda watu husema wanamuogopa jamaa anatisha!
Na mimi nasema apigwe tu kama hakuna suluhu nyingine
Na mizigo yao ichunguzwe sana bandarini na cargo za airport kama zipo
Haiwezekani ka nchi kadogo kavuruge Amani kwa kukosa mbinu zingine za kuendeleza maisha yao zaidi ya ugaidi
majirani wote washavurugana na PK,niambie ni nchi gani aijazinguana na PK,,South Africa,Namibia,Zimbabwe,Uganda,TZ,Burundi,Congo,Angola,Malawi.ni nini lakini wanashindwa kumvagaa ndo kuna muda watu husema wanamuogopa jamaa anatisha!
Kuna maandamano kila mahali ya kupinga kitendo cha Rwanda kuwafadhili waasi wa M23 wanaoleta machafuka yasio isha huko DRC.
Wakongo wamechoka, Tanzania tumechoka, Afrika mashariki imechoka, Africa imechoka, na hata dunia imeshachoka. Waache sasa.
Na sisi Tanzania tujiulize, silaha nzito nzito za waasi wa M23 zinapitia bandari ipi? Ya Dar es salaam au ya Mombasa? Au ni kiwanja kipi cha ndege na ni shirika lipi la ndege linalowapelekea silaha huko mpakani na Rwanda?
Na kwanini M23 kila wanapozidiwa huwa wanakimbilia Rwanda na kupewa hifadhi kama wakimbizi ?, hii ina maana gani kwa nchi moja kukomaa kuleta machafuko kwenye nchi jirani, miaka nenda, miaka rudi? Kwani madini ya mashariki ya DRC si ni mali ya Wakongo wenyewe?
Kwanini wasiachwe wenyewe waamue nani wa kumuuzia leseni za uchimbaji madini? Kwanini Rwanda amiliki kinu kikubwa cha kuchenjulia dhahabu Afrika mashariki na kati wakati hana hata mgodi mkoja wa dhahabu.
Je, M23 wakikimbilia Rwanda wafuatwe huko huko au waachwe ili wajipange na wakishapewa silaha warudi tena msituni?
Mambo magumu Bunagana,Goma,Gichuru na Beni huko kote hadi sasa moto unawaka mapigano ni makali mno .SOURCE VOA Juzi Rais wa Congo katoa amri vijana wote wa kicongo wajiandikishe jeshini kwaajili ya kuipigania nchi yao hapo sasa ndipo WAASI wa kihutu walipokuwa wanapataka huwezi amini hadi janaa...
Ndugu umeandika kitu ambacho hukijui na pia hata hakikuhusu kabisa. Sisi wacongolese ndio tunajua chimbuko la mgogoro huu ambao hautakaa uishe bila ya maridhiana toka pande zote mbili. Wewe jikite zaidi na mambo yanayokuhusu kuliko kushadadia mambo ya wenyewe
Ndugu umeandika kitu ambacho hukijui na pia hata hakikuhusu kabisa. Sisi wacongolese ndio tunajua chimbuko la mgogoro huu ambao hautakaa uishe bila ya maridhiana toka pande zote mbili. Wewe jikite zaidi na mambo yanayokuhusu kuliko kushadadia mambo ya wenyewe
Ndugu umeandika kitu ambacho hukijui na pia hata hakikuhusu kabisa. Sisi wacongolese ndio tunajua chimbuko la mgogoro huu ambao hautakaa uishe bila ya maridhiana toka pande zote mbili. Wewe jikite zaidi na mambo yanayokuhusu kuliko kushadadia mambo ya wenyewe
Rais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa...
Fidodido ataeneshaje nchi sasa, kuna watu kuoga damu za watu kwao ni SAwa na maji ya kunywa. Thus viongozi wote wakifa uenda kuzimu Hakuna raisi duniani aliyefaulu kuingia mbinguni.
Congo itakuwa na amani siku fidodido akifa. Kwann iwe ni congo mashariki pekee ndo vita mbona pembe zingine zipo na amani kwani huko Hakuna madini. Congo ya Angola shwali, congo ya zambia shwali, congo ya brazzaville shwali, congo ya central africa shwali, kwann hii ya mashariki tu.
Congo itakuwa na amani siku fidodido akifa. Kwann iwe ni congo mashariki pekee ndo vita mbona pembe zingine zipo na amani kwani huko Hakuna madini. Congo ya Angola shwali, congo ya zambia shwali, congo ya brazzaville shwali, congo ya central africa shwali, kwann hii ya mashariki tu.
Waasi wa m23 wameanua kuondoka maeneo ya richuru uko goma kwa kile kinachodaiwa kwamba ni kuiheshimu jumuia ya nchi za Afrika mashariki, lkn Mimi sioni km hilo litatekelezwa kwa muda mrefu na m23.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.