chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nashauri kwamba watu wote waliopita mgambo nchi nzima wawekwe tayari na siku mbili kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, wafanye mazoezi makali kabisa mitaani kama ishara ya onyo kwa watanzania wanaojiandaa kuvuruga amani.
Serikali iinunue makontena ya rungu mpya na kuwagawia watu hawa
Serikali iinunue makontena ya rungu mpya na kuwagawia watu hawa