Ushauri: Serikali iagize waliopita mgambo waanze mazoezi nchi nzima ili wawe tayari kuwapiga watanzania watakaoharibu uchaguzi serikali za mitaa

Ushauri: Serikali iagize waliopita mgambo waanze mazoezi nchi nzima ili wawe tayari kuwapiga watanzania watakaoharibu uchaguzi serikali za mitaa

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nashauri kwamba watu wote waliopita mgambo nchi nzima wawekwe tayari na siku mbili kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, wafanye mazoezi makali kabisa mitaani kama ishara ya onyo kwa watanzania wanaojiandaa kuvuruga amani.

Serikali iinunue makontena ya rungu mpya na kuwagawia watu hawa
 
Masikini Chinembe, watanzania hatunaga fujo
Nashauri kwamba watu wote waliopita mgambo nchi nzima wawekwe tayari na siku mbili kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, wafanye mazoezi makali kabisa mitaani kama ishara ya onyo kwa watanzania wanaojiandaa kuvuruga amani.

Serikali iinunue makontena ya rungu mpya na kuwagawia watu hawa
 
Kajeshi ka interahamwe kanatengenezwa hapo.
Haya mawazo ya kutayarisha mgambo kupigana wenyewe ni mawazo mabaya sana.

Kwa sababu, yanavuruga utawala wa sheria na kutaka kutupa utawala wa kijeshi.

Yanaweza kuleta maafa makubwa.

Wapenda amani wote tuyapinge vikali.
 
Nashauri kwamba watu wote waliopita mgambo nchi nzima wawekwe tayari na siku mbili kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, wafanye mazoezi makali kabisa mitaani kama ishara ya onyo kwa watanzania wanaojiandaa kuvuruga amani.

Serikali iinunue makontena ya rungu mpya na kuwagawia watu hawa
Uchaguzi wa nini wakati mtu anapita bila kupingwa hakuna haja ya matumizi mabaya ya fedha
 
Nashauri kwamba watu wote waliopita mgambo nchi nzima wawekwe tayari na siku mbili kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, wafanye mazoezi makali kabisa mitaani kama ishara ya onyo kwa watanzania wanaojiandaa kuvuruga amani.

Serikali iinunue makontena ya rungu mpya na kuwagawia watu hawa
Mkuu fanya juu chini hakikisha akili zako na uwezo wako wa kufikiri wanao hawarithi.
 
Nashauri kwamba watu wote waliopita mgambo nchi nzima wawekwe tayari na siku mbili kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, wafanye mazoezi makali kabisa mitaani kama ishara ya onyo kwa watanzania wanaojiandaa kuvuruga amani.

Serikali iinunue makontena ya rungu mpya na kuwagawia watu hawa
naunga mkono hoja
 
kwanini zoezi lisingeanza kwa watendaji wakati wa kuchukua na kurudisha fomu?
 
Kwahiyo kwa akili yako Mgambi Ndio watalinda amani, kumbe mnafanya Haya mkitekemea Migambo, jeshi na polisi, Hao Mgambo ni wananchi, wanajeshi ni wananchi, polisi ni wananchi, kibaya zaidi ni wachache Sana kwa Kama ikitokea nchi imechefuka, chungeni Sana, tumieni akili kidogo kufanya mnayo yafanya mkitekemea kutumia Ngumu za majeshi, nchi ikichafuka kila mtu ni Binadamu anaangalia upepo, Hali huwa ni mbaya hasa kwa viongozi, jeshi siku zote huungana na wananchi kwa mazingira Kama hayo, chungeni Sana
 
vyuma vimekaza hadi kwao, kama kuna mtu atapigwa basi ni polisi wa CCM.
 
Back
Top Bottom