Leo kulikuwa na Press conference baina ya Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara na Waziri wa Fedha na Waandishi wa Habari.
Maelezo kuhusu upungufu wa ngano ulielezwa vyema na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara na kusema kuwa mahitaji yetu ya ngano ni tani 800,000 kwa mwaka na sisi tunazalisha tani 100,000 kwa mwaka na hivyo kuwa na upungufu wa tani 700,000.
Mhe. Waziri wa Fedha alieleza kuwa bajeti ijayo Serikali imetenga fedha nyingi na zitaelekezwa kwenye maeneo ya uzalishaji ikiwemo kilimo.
Napenda nitoe hoja kuhusu suala la ngano.
Katika miaka ya 1970s Serikali ilitenga maelfu ya ekari katika Wilaya ya Hanang kwa ajili ya kilimo cha ngano ikijulikana kama HANANG' WHEAT COMPLEX na ilikuwa ikishirikiana na Serikali ya Canada.
Mashamba haya bado yapo japo yalibinafsishwa na kuuzwa kwa wahindi ingawaje hakuna kinachoendelea.
Ninaishauri Serikali iyarudishe mashamba haya na kumpa Mwekezaji mwenye maono kama Mzee Seif wa Kagera Sugar ili hapo baadaye Serikali iweze kujitosheleza na suala la ngano.
Serikali ikiwa Serious na masuala ya kilimo nchi itajisholeza kwa chakula.
Maelezo kuhusu upungufu wa ngano ulielezwa vyema na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara na kusema kuwa mahitaji yetu ya ngano ni tani 800,000 kwa mwaka na sisi tunazalisha tani 100,000 kwa mwaka na hivyo kuwa na upungufu wa tani 700,000.
Mhe. Waziri wa Fedha alieleza kuwa bajeti ijayo Serikali imetenga fedha nyingi na zitaelekezwa kwenye maeneo ya uzalishaji ikiwemo kilimo.
Napenda nitoe hoja kuhusu suala la ngano.
Katika miaka ya 1970s Serikali ilitenga maelfu ya ekari katika Wilaya ya Hanang kwa ajili ya kilimo cha ngano ikijulikana kama HANANG' WHEAT COMPLEX na ilikuwa ikishirikiana na Serikali ya Canada.
Mashamba haya bado yapo japo yalibinafsishwa na kuuzwa kwa wahindi ingawaje hakuna kinachoendelea.
Ninaishauri Serikali iyarudishe mashamba haya na kumpa Mwekezaji mwenye maono kama Mzee Seif wa Kagera Sugar ili hapo baadaye Serikali iweze kujitosheleza na suala la ngano.
Serikali ikiwa Serious na masuala ya kilimo nchi itajisholeza kwa chakula.