barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Iddi jumatatu wewe...Sherehe za kuiaga corona nchini Tanzania zinafanyika kesho jumapili
Nashauri vyombo vya dola viiagize Bakwata pia itangaze kesho Eid El Fitr ili wananchi wakiwa wanasherehekea Eid, pia wanapiga pilau la kuiaga corona
Pia hii itafanya masheikh misikitini kupiga dua za kumshukuru Mungu, na kuilaani corona