barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Iddi jumatatu wewe...Sherehe za kuiaga corona nchini Tanzania zinafanyika kesho jumapili
Nashauri vyombo vya dola viiagize Bakwata pia itangaze kesho Eid El Fitr ili wananchi wakiwa wanasherehekea Eid, pia wanapiga pilau la kuiaga corona
Pia hii itafanya masheikh misikitini kupiga dua za kumshukuru Mungu, na kuilaani corona
Kwa hiyo unataka wasali BAKWATA na si Islam, maana Islam hawakuanzishwa na CCM, Sisi tutasali tukiuona mwezi na wengine tutasali baada ya kukamilisha siku 30Kwni ujui bakwata ilianzishwa na ccm
Jiandae nimesikia tarehe 30 mnafungua hicho mlichofungaHuwezi tenganisha bakwata na bashite kilipo kimoja lzm kingine kiwepo
Serikali iagize nini?Sherehe za kuiaga corona nchini Tanzania zinafanyika kesho jumapili
Nashauri vyombo vya dola viiagize Bakwata pia itangaze kesho Eid El Fitr ili wananchi wakiwa wanasherehekea Eid, pia wanapiga pilau la kuiaga corona
Pia hii itafanya masheikh misikitini kupiga dua za kumshukuru Mungu, na kuilaani corona
Anhaa nimekupata, ilianzishwa ili iendeshe mambo ya ccm.Kwa hiyo unafkiri ilianzishwa na CCM ili iendeshe mambo ya dini??