Ushauri: Serikali ijenge jengo litakalokuwa na vizimba 500,000 Karume

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Ipo haja Kwa Serikali yetu tukufu kujenga soko la kisasa Karume litakalojumuisha, vizimba, stoo, maeneo ya mama lishe

Kwa hesabu maalumu ili kukidhi haja za wafanyabiashara wote waliokuwepo hapo, vizimba vyote viwe na namba maalum za utambulisho ili kila muhitaji apatiwe kwa namba maalum itakayounganishwa na mfumo wa kodi ili Serikali iweze kupata kilicho chake Kwa urahisi

Ujengaji wa mabanda holela upigwe marufuku, iwekwe mifumo ambayo pia itaweza kukabiliana na majanga ya aina hii.
 
Muda wanajenga machinga wanakuwa wanafanya biashara wapi, ile machinga hawawezi tosha
 

Sidhani kama serikali itajenga kitu chochote hapo Karume sababu tayari mita kadhaa toka hapo kuna majengo maarufu ya Machinga Complex...pia kilometa chache kutakuwa na jengo jipya la soko la Kariakoo (new kariakoo market)
 
Machinga Complex nyingine sio?... 😳
🤔
 
Ipo haja Kwa Serikali yetu tukufu kujenga soko la kisasa Karume litakalojumuisha, vizimba, stoo, maeneo ya mama lishe
Litakuwa la gorofa 500 na huenda litakuwa moja ya majengo marefu duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…