Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Habari za majukumu JF?
Kulingana na hali ya mabadiliko ya sayansi na teknolojia, naishauri serikali iliangalie hili suala la NIDA lisiwe kwa watu wazima pekee.
Naiomba serikali iweke utaratibu maalum wa kutoa Usajili wa NIDA kwa kila mtoto anaeanza elimu ya msingi.
Hili litatusaidia mambo mengi sana;
- Kwanza litazuia udanganyifu wa umri hapo mbeleni katika masuala mengi sana.
- Pili itatusaidia ku track location ya wazazi/walezi wa mtoto endapo mtoto atapotea kwa namna yoyote ile.
- Itarahisisha pia katika zoezi zima la ongezeko la idadi ya watu maana kila mwaka watoto wataingizwa kwenye mfumo.
- Kadhalika serikali itatambua idadi kamili ya raia wake katika level ya under Secondary na Primary bila usumbufu wowote hivyo itakua rahisi kupeleka maendeleo sehemu mbalimbali.
NB: Mifumo ya simu itumike kuwasajili ili iwe rahisi zaidi.
Karibuni kwa maoni.
Kulingana na hali ya mabadiliko ya sayansi na teknolojia, naishauri serikali iliangalie hili suala la NIDA lisiwe kwa watu wazima pekee.
Naiomba serikali iweke utaratibu maalum wa kutoa Usajili wa NIDA kwa kila mtoto anaeanza elimu ya msingi.
Hili litatusaidia mambo mengi sana;
- Kwanza litazuia udanganyifu wa umri hapo mbeleni katika masuala mengi sana.
- Pili itatusaidia ku track location ya wazazi/walezi wa mtoto endapo mtoto atapotea kwa namna yoyote ile.
- Itarahisisha pia katika zoezi zima la ongezeko la idadi ya watu maana kila mwaka watoto wataingizwa kwenye mfumo.
- Kadhalika serikali itatambua idadi kamili ya raia wake katika level ya under Secondary na Primary bila usumbufu wowote hivyo itakua rahisi kupeleka maendeleo sehemu mbalimbali.
NB: Mifumo ya simu itumike kuwasajili ili iwe rahisi zaidi.
Karibuni kwa maoni.