Ushauri: Serikali iwapigie magoti wafanyabiashara wa mafuta

Ushauri: Serikali iwapigie magoti wafanyabiashara wa mafuta

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Wafanyabiashara wameshika nchi. Wanaweza kupanga nini wafanye wakati gani. Wanaweza kupata taarifa nyeti za serikali. Wale wa mafuta wamejua bei inaenda kupanda. Kwa hiyo wameficha mafuta ili waje wapige hela.

Lakini wanafanya hivyo mbele ya mamlaka za nchi, na pengine chini ya ulinzi wa mamlaka. Who knows.

Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Wanaona kama DPW kaweza kwani wao washindwe wana nini?

Kama ni hivyo, basi mama awapigie magoti ili kuleta ahueni. Nchi itaanguka hii jamani. Hawa watu wana nguvu, waulizwe wanataka wapigiwe magoti hadharani au kifichoni.

Enzi za Magufuli huwezi kufanya huu ujinga. Kuficha mafuta ni kuhujumu uchumi. Utapewa kesi wewe na wajukuu zako. Lakini hizi ni enzi za mama
 
Wafanyabiashara wameshika nchi. Wanaweza kupanga nini wafanye wakati gani. Wanaweza kupata taarifa nyeti za serikali. Wale wa mafuta wamejua bei inaenda kupanda. Kwa hiyo wameficha mafuta ili waje wapige hela.

Lakini wanafanya hivyo mbele ya mamlaka za nchi, na pengine chini ya ulinzi wa mamlaka. Who knows.

Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Wanaona kama DPW kaweza kwani wao washindwe wana nini?

Kama ni hivyo, basi mama awapigie magoti ili kuleta ahueni. Nchi itaanguka hii jamani. Hawa watu wana nguvu, waulizwe wanataka wapigiwe magoti hadharani au kifichoni.

Enzi za Magufuli huwezi kufanya huu ujinga. Kuficha mafuta ni kuhujumu uchumi. Utapewa kesi wewe na wajukuu zako. Lakini hizi ni enzi za mama
Kiboko yao ni kufuta vibali vyao wote na kutangaza tenda mpya haraka sana.
 
Kwa ujinga wao wa kuwakumbatia wafanyabiashara na kuwageuza miungu watu, wanaweza kweli kuwapigia magoti, kwasababu ni serikali ya mjinga ndio imewafanya hao wafanyabiashara waiendeshe wanavyotaka.

Nchi imekosa uongozi kabisa, tatizo alilotengeneza mjinga kwa kuwaruhusu wajanja wale kwa urefu wa kamba zao, ajabu anataka Biteko akalitatue, kama akishindwa amtumbue kisingizio ameshindwa kazi, wakati yeye mjinga asiyejitambua ndie chanzo cha matatizo yote.
 
Hapana aisee, yaani Serikali ipigie magoti wafanya biashara wahujumu uchumi?.

Serikali ni chombo chenye taasisi zote za usalama na jeshi vinavyoweza kujua kila kitu.

Piga ban, filisi na wengine peleka jela, Hakuna nchi iliwahi kuendelea kwa kubembeleza wezi, wajinga na wavivu.
Hizo taasisi zote ziko wapi mpaka muda huu?
 
Tunaweza mlaumu mama ila chanzo cha haya tukawa sisi, hakuna mfanya biashara anaetaka hasara sahivi kwa watu wengi wanaoangalia kwa jicho la 3 wanaona nchi nyingi mapinduzi yapo na hapa kwetu Kuna mikwaruzano so mtu anaweza punguza uagizaji au supply ya bidhaa ili isije tokea vurugu akapata hasara kubwa Rabbon mim sikuuliza kule kwa ubaya ila hoja yangu ilikuwa kwenye biashara
 
Wafanyabiashara wameshika nchi. Wanaweza kupanga nini wafanye wakati gani. Wanaweza kupata taarifa nyeti za serikali. Wale wa mafuta wamejua bei inaenda kupanda. Kwa hiyo wameficha mafuta ili waje wapige hela.

Lakini wanafanya hivyo mbele ya mamlaka za nchi, na pengine chini ya ulinzi wa mamlaka. Who knows.

Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Wanaona kama DPW kaweza kwani wao washindwe wana nini?

Kama ni hivyo, basi mama awapigie magoti ili kuleta ahueni. Nchi itaanguka hii jamani. Hawa watu wana nguvu, waulizwe wanataka wapigiwe magoti hadharani au kifichoni.

Enzi za Magufuli huwezi kufanya huu ujinga. Kuficha mafuta ni kuhujumu uchumi. Utapewa kesi wewe na wajukuu zako. Lakini hizi ni enzi za mama
Hehe hehe hao wafanyabiashara ndo serikali yenyewe .

Impossible we acha yasome 3300 akili za watanganyika zikae sawa.
 
Wafanyabiashara wameshika nchi. Wanaweza kupanga nini wafanye wakati gani. Wanaweza kupata taarifa nyeti za serikali. Wale wa mafuta wamejua bei inaenda kupanda. Kwa hiyo wameficha mafuta ili waje wapige hela.

Lakini wanafanya hivyo mbele ya mamlaka za nchi, na pengine chini ya ulinzi wa mamlaka. Who knows.

Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Wanaona kama DPW kaweza kwani wao washindwe wana nini?

Kama ni hivyo, basi mama awapigie magoti ili kuleta ahueni. Nchi itaanguka hii jamani. Hawa watu wana nguvu, waulizwe wanataka wapigiwe magoti hadharani au kifichoni.

Enzi za Magufuli huwezi kufanya huu ujinga. Kuficha mafuta ni kuhujumu uchumi. Utapewa kesi wewe na wajukuu zako. Lakini hizi ni enzi za mama
Wajipigie magoti? Au huwajui wenye hiyo biashara?
 
Wafanyabiashara wameshika nchi. Wanaweza kupanga nini wafanye wakati gani. Wanaweza kupata taarifa nyeti za serikali. Wale wa mafuta wamejua bei inaenda kupanda. Kwa hiyo wameficha mafuta ili waje wapige hela.

Lakini wanafanya hivyo mbele ya mamlaka za nchi, na pengine chini ya ulinzi wa mamlaka. Who knows.

Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Wanaona kama DPW kaweza kwani wao washindwe wana nini?

Kama ni hivyo, basi mama awapigie magoti ili kuleta ahueni. Nchi itaanguka hii jamani. Hawa watu wana nguvu, waulizwe wanataka wapigiwe magoti hadharani au kifichoni.

Enzi za Magufuli huwezi kufanya huu ujinga. Kuficha mafuta ni kuhujumu uchumi. Utapewa kesi wewe na wajukuu zako. Lakini hizi ni enzi za mama

Asee nlizani yatashuka maana zmebaki siku tatu watangaze bei mpya
 
Wafanyabiashara wameshika nchi. Wanaweza kupanga nini wafanye wakati gani. Wanaweza kupata taarifa nyeti za serikali. Wale wa mafuta wamejua bei inaenda kupanda. Kwa hiyo wameficha mafuta ili waje wapige hela.

Lakini wanafanya hivyo mbele ya mamlaka za nchi, na pengine chini ya ulinzi wa mamlaka. Who knows.

Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Wanaona kama DPW kaweza kwani wao washindwe wana nini?

Kama ni hivyo, basi mama awapigie magoti ili kuleta ahueni. Nchi itaanguka hii jamani. Hawa watu wana nguvu, waulizwe wanataka wapigiwe magoti hadharani au kifichoni.

Enzi za Magufuli huwezi kufanya huu ujinga. Kuficha mafuta ni kuhujumu uchumi. Utapewa kesi wewe na wajukuu zako. Lakini hizi ni enzi za mama
You have the answer in between lines !!!
 
Wafanyabiashara wameshika nchi. Wanaweza kupanga nini wafanye wakati gani. Wanaweza kupata taarifa nyeti za serikali. Wale wa mafuta wamejua bei inaenda kupanda. Kwa hiyo wameficha mafuta ili waje wapige hela.

Lakini wanafanya hivyo mbele ya mamlaka za nchi, na pengine chini ya ulinzi wa mamlaka. Who knows.

Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Wanaona kama DPW kaweza kwani wao washindwe wana nini?

Kama ni hivyo, basi mama awapigie magoti ili kuleta ahueni. Nchi itaanguka hii jamani. Hawa watu wana nguvu, waulizwe wanataka wapigiwe magoti hadharani au kifichoni.

Enzi za Magufuli huwezi kufanya huu ujinga. Kuficha mafuta ni kuhujumu uchumi. Utapewa kesi wewe na wajukuu zako. Lakini hizi ni enzi za mama
Kushauri kwamba Rais awapigie magoti wafanyabiashara wa mafuta, ni hoja ya kipumbavu kuwahi kutolewa na mtu mwenye akili timamu!
 
Wafanyabiashara wameshika nchi. Wanaweza kupanga nini wafanye wakati gani. Wanaweza kupata taarifa nyeti za serikali. Wale wa mafuta wamejua bei inaenda kupanda. Kwa hiyo wameficha mafuta ili waje wapige hela.

Lakini wanafanya hivyo mbele ya mamlaka za nchi, na pengine chini ya ulinzi wa mamlaka. Who knows.

Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Wanaona kama DPW kaweza kwani wao washindwe wana nini?

Kama ni hivyo, basi mama awapigie magoti ili kuleta ahueni. Nchi itaanguka hii jamani. Hawa watu wana nguvu, waulizwe wanataka wapigiwe magoti hadharani au kifichoni.

Enzi za Magufuli huwezi kufanya huu ujinga. Kuficha mafuta ni kuhujumu uchumi. Utapewa kesi wewe na wajukuu zako. Lakini hizi ni enzi za mama
R I.P Magufuli
 
Wafanyabiashara wameshika nchi. Wanaweza kupanga nini wafanye wakati gani. Wanaweza kupata taarifa nyeti za serikali. Wale wa mafuta wamejua bei inaenda kupanda. Kwa hiyo wameficha mafuta ili waje wapige hela.

Lakini wanafanya hivyo mbele ya mamlaka za nchi, na pengine chini ya ulinzi wa mamlaka. Who knows.

Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Wanaona kama DPW kaweza kwani wao washindwe wana nini?

Kama ni hivyo, basi mama awapigie magoti ili kuleta ahueni. Nchi itaanguka hii jamani. Hawa watu wana nguvu, waulizwe wanataka wapigiwe magoti hadharani au kifichoni.

Enzi za Magufuli huwezi kufanya huu ujinga. Kuficha mafuta ni kuhujumu uchumi. Utapewa kesi wewe na wajukuu zako. Lakini hizi ni enzi za mama
Samia amefeli pakubwa
 
Wafanyabiashara wameshika nchi. Wanaweza kupanga nini wafanye wakati gani. Wanaweza kupata taarifa nyeti za serikali. Wale wa mafuta wamejua bei inaenda kupanda. Kwa hiyo wameficha mafuta ili waje wapige hela.

Lakini wanafanya hivyo mbele ya mamlaka za nchi, na pengine chini ya ulinzi wa mamlaka. Who knows.

Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Wanaona kama DPW kaweza kwani wao washindwe wana nini?

Kama ni hivyo, basi mama awapigie magoti ili kuleta ahueni. Nchi itaanguka hii jamani. Hawa watu wana nguvu, waulizwe wanataka wapigiwe magoti hadharani au kifichoni.

Enzi za Magufuli huwezi kufanya huu ujinga. Kuficha mafuta ni kuhujumu uchumi. Utapewa kesi wewe na wajukuu zako. Lakini hizi ni enzi za mama
Enzi za Magufuli Mfanyabiashara Muhuni alikuwa anafanywa chochote ila kwa Samia wanafanya chochote!
 
Back
Top Bottom