OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wafanyabiashara wameshika nchi. Wanaweza kupanga nini wafanye wakati gani. Wanaweza kupata taarifa nyeti za serikali. Wale wa mafuta wamejua bei inaenda kupanda. Kwa hiyo wameficha mafuta ili waje wapige hela.
Lakini wanafanya hivyo mbele ya mamlaka za nchi, na pengine chini ya ulinzi wa mamlaka. Who knows.
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Wanaona kama DPW kaweza kwani wao washindwe wana nini?
Kama ni hivyo, basi mama awapigie magoti ili kuleta ahueni. Nchi itaanguka hii jamani. Hawa watu wana nguvu, waulizwe wanataka wapigiwe magoti hadharani au kifichoni.
Enzi za Magufuli huwezi kufanya huu ujinga. Kuficha mafuta ni kuhujumu uchumi. Utapewa kesi wewe na wajukuu zako. Lakini hizi ni enzi za mama
Lakini wanafanya hivyo mbele ya mamlaka za nchi, na pengine chini ya ulinzi wa mamlaka. Who knows.
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Wanaona kama DPW kaweza kwani wao washindwe wana nini?
Kama ni hivyo, basi mama awapigie magoti ili kuleta ahueni. Nchi itaanguka hii jamani. Hawa watu wana nguvu, waulizwe wanataka wapigiwe magoti hadharani au kifichoni.
Enzi za Magufuli huwezi kufanya huu ujinga. Kuficha mafuta ni kuhujumu uchumi. Utapewa kesi wewe na wajukuu zako. Lakini hizi ni enzi za mama