butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Haya si ndiyo alikuwa anafanya Magufuli akawa anapingwa sana kwa jina la Demokrasia!Hapana aisee, yaani Serikali ipigie magoti wafanya biashara wahujumu uchumi?.
Serikali ni chombo chenye taasisi zote za usalama na jeshi vinavyoweza kujua kila kitu.
Piga ban, filisi na wengine peleka jela, Hakuna nchi iliwahi kuendelea kwa kubembeleza wezi, wajinga na wavivu.