Ushauri: Serikali iwapigie magoti wafanyabiashara wa mafuta

Haya si ndiyo alikuwa anafanya Magufuli akawa anapingwa sana kwa jina la Demokrasia!
 
Biteko kawekewa mtego na wahuni, ngoja tuone.
 
Wewe mbona unahangaika sana na rais? Biteko hata hajakabidhiwa ofisi tayari unasema mama anataka amtumbuwe hivi wewe kichwani upo sawa kweli?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Africa ya Kati jeshi limejidhihirisha kuwa ni la wananchi wamekataa upumbavu wa wanasiasa kuyumbisha nchi jinsi watakavyo kwa sababu za kijinga na kipumbavu,tumebaki ss Tanzania nchi ambayo wanajeshi ni vipofu na hawana ndugu ktk Taifa hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…