Ushauri: Serikali iweke aina rangi za kupaka kwenye nyumba maana naona rangi za ajabu mtaani

Ushauri: Serikali iweke aina rangi za kupaka kwenye nyumba maana naona rangi za ajabu mtaani

Google Diggers

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
944
Reaction score
1,138
Rangi aina nne au Tano zitasaidia kuepuka maajabi ya rangi za ajabu. Lkn lazima Kuna rangi za Kupiga marufiku kitumia.

Kwa mfano. Black

Screenshot_20220603-191231.jpg

Lazima nyumba zitapendeza.

Angalia nyumba za bongo zingependeza Sana kama wangepewa option.
screenshot_20220603-191701-jpg.2249568
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-191701.jpg
    Screenshot_20220603-191701.jpg
    62.6 KB · Views: 77
Unataka kmpangia mtu kupaka rangi
Kwenye nyumba

Ova
 
Kwanza uwapangie watu rangi za kupaka kwenye nyumba umewagawia hata 10 kwa 10 za kujenga kibanda?
 
Mbona Serikali haijakupania rangi ya nguo za kuvaa?
 
Huo utaratibu upo mkuu na mfano halisi ni Dodoma eneo moja linaitwa Kisasa ni lazima paa la nyumba liwe la rangi nyekundu iliofifia ila kuhusu rangi ya nyumba wengi naona wamepuuzia agizo ila kuhusu paa wengi wametekeleza.
 
Huo utaratibu upo mkuu na mfano halisi ni Dodoma eneo moja linaitwa Kisasa ni lazima paa la nyumba liwe la rangi nyekundu iliofifia ila kuhusu rangi ya nyumba wengi naona wamepuuzia agizo ila kuhusu paa wengi wametekeleza.
Acha sheria za nchi za kicommunist mkuu. Kila mtu ana rangi anayoipenda, na yupo huru kuchagua yeye mwenyewe na nyumba yake.
 
Subiri waruka sarakasi waione hii...

Watapambana mpaka rangi zibadilishwe...

Zakuambiwa changanya na zao...
 
Si zitakuwa kota hizo, ama hospital au shule, zote hizo ndo zinapangiwa rangi
 
Back
Top Bottom