Ushauri: Serikali ya Tanzania ichimbe mafuta yake kabla teknolojia ya kutumia maji, solar na gesi kweye magari hazijafika

Ushauri: Serikali ya Tanzania ichimbe mafuta yake kabla teknolojia ya kutumia maji, solar na gesi kweye magari hazijafika

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Nina hofu kuwa mafuta yatashuka thamani siku si nyingi hivyo tungechangamka kuchimba mafuta yanayosemekana yamegunduliwa katika bahari ya Hindi.

Mfano baadhi ya nchi jirani wameanza kutumia gesi katika magari yao hivyo ni hatari kwa solo la mafuta. Uganda wanaanza kuchimba siku si nyingi japo tukija katika magari ya kuchaji tutakuwa juu kwani tunao umeme mpaka vijijini ni ushauri tu

Sijui WanaJamiiForums wenzangu mna maoni gani.
 
Nimebold hapo. Sijui kwa nini nashindwa kuamini kama kweli Uganda watachimba mafuta anytime soon.

Kuhusu sisi wenyewe kuchimba mafuta, tafakuri stratijiu inahitajika kuchanganua sekta ya mafuta Libya ya Kanali Ghadafi, ya Norway, na za majimbo ya Texas na Alaska Marekani; na pia kuchanganua sekta muhimu za rasilmali asilia Botswana na Namibia: ili kujitengengenezea a winning strategy kwenye kujichimbia mafuta yetu.
 
Back
Top Bottom