Mwakarobo hata kwenye chujio hakuwekwaAlafu mbona siioni Young africans hapa kweny Nominees za CAF wakat mlianzisha na nyuzi humu mkiita clabu bora. Hapa nimeiona Al ahly, mamelodi na Wydad.
Au ndo tuseme baad ya chujio pumba na mchele vikajitenga ?
Hii ya wapi tena?Yanga wahakkishe wanashika nafasi ya Tatu msimu huu ili waende Caf confederation wakatembeze kipigo huko wafike fainali wachukue medali za rangi ya Bati na kumalizia machungu ya Vipigo vya Cafcl.
Yanga bado ana nafasi ya kwenda robo finalYanga wahakkishe wanashika nafasi ya Tatu msimu huu ili waende Caf confederation wakatembeze kipigo huko wafike fainali wachukue medali za rangi ya Bati na kumalizia machungu ya Vipigo vya Cafcl.
Hata kuingia 5 Bora ni hatua kubwaAlafu mbona siioni Young africans hapa kweny Nominees za CAF wakat mlianzisha na nyuzi humu mkiita clabu bora. Hapa nimeiona Al ahly, mamelodi na Wydad.
Au ndo tuseme baad ya chujio pumba na mchele vikajitenga ?
Group la Yanga ...bado wanauwezo mkuuYaani caf ashindwe uto! aafu ushauri ampe jirani yake eti awekeze nguvu mapinduzi! umefanya nini mpaka sasa kwenye group lako kama sio kurukaruka tu? ama ndo visingizio vya sisi malengo yetu ni group stage basi? uto ni utonyongo tu.
Amka upesi hizo ndoto za Mchana sio nzuriYanga bado ana nafasi ya kwenda robo final
Mzee katika historia ya ncho yetu toka tupate uhuru kuna timu ikedhaingia owenye tamo bora Afrika? Mi ni mwana lunyasi kwa hili la Yanga kuingia 5 bora tuwape maua yao na tusiwabeze.Alafu mbona siioni Young africans hapa kweny Nominees za CAF wakat mlianzisha na nyuzi humu mkiita clabu bora. Hapa nimeiona Al ahly, mamelodi na Wydad.
Au ndo tuseme baad ya chujio pumba na mchele vikajitenga ?
Tano bora ya msimu mmoja? Timu ya 5 bora halafu ya mwisho group stage?Mzee katika historia ya ncho yetu toka tupate uhuru kuna timu ikedhaingia owenye tamo bora Afrika? Mi ni mwana lunyasi kwa hili la Yanga kuingia 5 bora tuwape maua yao na tusiwabeze.
Kwa kujifariji.
Mambo mengine basi muwe mnaona aibu kupost bro. Ku appreciate kile ambacho wamefanya wengine sio vibaya bro.Tano bora ya msimu mmoja? Timu ya 5 bora halafu ya mwisho group stage?
Sent using Jamii Forums mobile app
5...1Tano bora ya msimu mmoja? Timu ya 5 bora halafu ya mwisho group stage?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna walichofanya,wangekuwa wazuri wangeleta kombeMambo mengine basi muwe mnaona aibu kupost bro. Ku appreciate kile ambacho wamefanya wengine sio vibaya bro.