[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alafu mbona siioni Young africans hapa kweny Nominees za CAF wakat mlianzisha na nyuzi humu mkiita clabu bora. Hapa nimeiona Al ahly, mamelodi na Wydad.
Au ndo tuseme baad ya chujio pumba na mchele vikajitenga ?
Unaota wewee, labda robo ya Sembe.Yanga bado ana nafasi ya kwenda robo final
Simba bado tuna nafasi CCL lakini ni wazi ni kazi ngumu ya jasho na damu, lakini katika mpira lolote lawezekana.Salaam Wana JF
Kama expert wa soka naona ni Bora Kwa timu ya Simba kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi litakalofanyika January kuliko kuendelea kukupoteza muda kwenye champions, ambako hata Kwa kuroga haiwezekani kuvuka
Bora msimu huu tuchukue mapinduzi cup Ili kabati lisilale njaa, coz najua hata kombe la ligi hatutoboi mbele ya wananchi
NB heri haba Moja kuliko kupoteza haba zote.
Yanga akishakuwa mbele.....kunkuta ni ngumuSimba bado tuna nafasi CCL lakini ni wazi ni kazi ngumu ya jasho na damu, lakini katika mpira lolote lawezekana.
NBC premier league Simba amefungwa mchezo mmoja tu vipi unamtoa kwenye mbio za ubingwa?
mapinduzi ni bonanza la kisiasa sio kikombe cha kujivunia.
Mkuu kwani group stage mechi zote zimeisha?Tano bora ya msimu mmoja? Timu ya 5 bora halafu ya mwisho group stage?
Sent using Jamii Forums mobile app