ToniXrated
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,134
- 2,993
Nashauri kwa uongozi wa klabu ha yanga usipoteze nauli ya kuisafirisha timu kutoka Tanzania kwenda tunisia badala yake ipishe timu ya Simba Queens icheze kwa niaba yao pale Tunis. Huku tukizingatia kuwa nauli ya kutoka Rabat kupitia Algiers mpaka Tunis ni ndogo kuliko ya kutoka Dar mpaka Tunis.
Asanteni kwa kushiriki hatua za awali za mashindano ya wakubwa. Jaribuni tena mwakani
Asanteni kwa kushiriki hatua za awali za mashindano ya wakubwa. Jaribuni tena mwakani