ToniXrated
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,134
- 2,993
imepitishwaNashauri kwa uongozi wa klabu ha yanga usipoteze nauli ya kuisafirisha timu kutoka Tanzania kwenda tunisia badala yake ipishe timu ya Simba Queens icheze kwa niaba yao pale Tunis. Huku tukizingatia kuwa nauli ya kutoka Rabat kupitia Algiers mpaka Tunis ni ndogo kuliko ya kutoka Dar mpaka Tunis.
Asanteni kwa kushiriki hatua za awali za mashindano ya wakubwa. Jaribuni tena mwakani
Ushauri ssfi kabisa huuNashauri kwa uongozi wa klabu ha yanga usipoteze nauli ya kuisafirisha timu kutoka Tanzania kwenda tunisia badala yake ipishe timu ya Simba Queens icheze kwa niaba yao pale Tunis. Huku tukizingatia kuwa nauli ya kutoka Rabat kupitia Algiers mpaka Tunis ni ndogo kuliko ya kutoka Dar mpaka Tunis.
Asanteni kwa kushiriki hatua za awali za mashindano ya wakubwa. Jaribuni tena mwakani
Leo mashabiki wao wamekiri wanasajili ili wamfunge simba huko kimataifa ni aibu tupuYanga wasubiri mchezaji anayefikiriwa kuja Simba ili wamuwahi.
Leo wachezaji wate wa Yanga wanajuta kusajiriwa na Yanga.
Ndio wanastuka kuwa kumbe wamesajiria kucheza Ndondo.
Si mshahala wao wanapata, shida iko wapi.