Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Kama serikali ina nia kwa wananchi wake kujua kiingereza, basi somo hili lianze kufundishwa tangu darasa la awali kama ilivyokuwa hapo kabla.
Na ikiwa si la muhimu sana basi ni afadhali lifutwe tu, wanafunzi wajifunze mambo mengine ya muhimu.
Atakayehitaji atajifunza kwa wakati wake hata baada ya kuhitimu!
Na ikiwa si la muhimu sana basi ni afadhali lifutwe tu, wanafunzi wajifunze mambo mengine ya muhimu.
Atakayehitaji atajifunza kwa wakati wake hata baada ya kuhitimu!