Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,118
kama wewe sio mfanyabiashara.. na hujawai kufanya biashara yeyote maishani mwako.
mimi nakushauri peleka hizo hela bank kafute deni lako lote kama ulivyowaza.
biashara ni risk na ili zifanikiwe zinahitaji experience. sasa wewe experience hauna na bado hutaki hasara hata iweje...
peleka bank tu mkuu nenda kafute deni..
watu watakushauri na pm nyingiii.. ili wafaidike tu wao... hakuna mfanyabiashara wa kumfaidisha mwenzake... kabla yeye hajafaidika
Hali ya uchumi haiko vizuri kwa mtu mmoja mmoja(uchumi wa taifa uko fresh) sasa upepo wa biashara umebadilika sana.naomba rudisha mkopo wa watu sababu wewe huna uzoefu wa biashara inaweza kukucost kwa kipindi hiki na baadae ukashindwa kurudisha mkopo. Vumilia hali ikae sawa baada ya miezi kadhaa hata ukienda kukopa tena utakopeshwa sababu wewe ni mteja mzuri na muaminifu kwa historia yako ya kurudisha mkopo kwa wakati.
rudisha mkopo utafungwa
TAFADHALI WASIKILIZE HAWA