Ushauri tafadhali kabla sijazirejesha hizi 10mil benki

rudisha mkopo utafungwa

TAFADHALI WASIKILIZE HAWA
 
Afanyeje?.. Maana nimejaribu kusoma, hata kwa kugeuzageuza nimeshindwa kukuelewa ulichoshauri.
Mwenye deni kaelewa,we mnazi unaelewaje unadhani?wacha nipite [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 



Kama hujawai kufanya biashara nakushauri rudisha hizoo hela bank.


Hiki kipindi ni kipindi hatari sana kwa biashara.
Ukichangia tena wewe si mzoefu.
 
kma ww ni mwajiriwa na ratiba zako za kazi hazi eleweki nakushauri usijiingize kwenye Biashara yeyote! yaani utajuta tu maana biashara inahitaji usimamizi mkubwa sana hasa hasa pale inaanza kwa sababu cost zote za uendeshaji zinakuwa zinatoka kwenye mtaji huo huo. ila kma ratiba yako iko vzur ndio nitaanzia hapo
 
Kwanza tuanzie kwenye hizo M15 ulizokopa ulizifanyia nini? Ulinunulia gari, ulijengea au ulizilia bata?
Nilianza mambo ya ujenzi lakini sikufika pale pahala nilitarajia mkuu.
 
Mkuu na hali hii ya sasa hiyo biashara bado iko pouwa, maana nyingine huku zimedorora kama vip tuhamie huko
 
ukitaka kupata ushauri ulio-endesha shule, lazima ueleze interest rate ya huo mkopo, ueleze pia kama ukirudisha kabla ya muda uliokubaliana na benki watakata asilimia ngapi. Hapo sasa ndio nitakushauri urudishe lumpsum au ununue kiwanja kama bado.
 
Watu tunakurupuka sana, biashara huwezi kufanya bila kuwa na uzoefu wa aina ya biashara unayotaka kufanya. Mfano., unataka kuwa mama ntilie lazima uwe umepitia hiyo shughuli hata kwa kuajiliwa.

Kalipe deni uwe huru, ukijiingiza tu sehemu husio ijua basi umeliwa, na deni utaendelea nalo kama kawaida. Unaujua mchezo wa kekundu na kehusi? Umeshaona yule mchezeshaji anavyoongea na mate haya mkauki? Umeshaona macho yake yanavyo kuangalia na yanavyo uangalia mchezo? Umeshaona mikono yake ilivyo faster zaidi ya 4G ya tigo? Huo ndio uzoefu.
 
Mkuu me nafanya biashara, Upepo sio mzuri kabisaaa, labda ngada but biashara halali unatakiwa uwe mvumilivu Sana.
Anyways ukiamua biashara Tafuta sehemu nzuri yenye mzunguko want watu fungua restaurant Safi tuu, but make sure unakuwa mwenyewe otherwise utafeli.
Biashara y'a Mkaa pia iko Safi but uwe tayari kukimbizana Na maliasili
Ni hayo tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…