Yusuph Issa
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 528
- 82
mambo vipi wanajamvi naanza kwa kusema nimemaliza kidato cha nne (form four) mwaka 2010 so baada ya kujichanga changa hela kidogo nataka kujiendeleza chuo cha maendeleo ya jamii yaani community development vipi yeyote aliyesoma hapo na ishu za kazi zikoje ushauri tafadhali.......!!!!!