Ushauri: TANESCO rudisheni Service Charges

Let me guess...

Itakuwa TANESCO wanakujia mara kwa mara ili uwakopeshe pesa za kuendeshea shughuli zao...

...Aidha, pamoja na kukujia mara kwa mara na wewe kuwakopesa, inaelekea wanakuwa waziti kukulipa pesa zako!!

Kama ilivyo, kila mtu ana kiwango chake cha uvumilivu, na wewe inaelekea umeshawachoka TANESECO....

...Baada ya wewe kuchoshwa na TANESCO na tabia yao ya kutokukulipa mabilioni yako, kwa uzalendo mkubwa unawashauri wa TANESCO warudishe service charges ili iwasaidie kujiendesha, na ikiwezekana surplus waitumie kukulipa pesa zako!

Si nimepatia ndugu..... ebo! Kumbe unajiita Hardlife

Halafu sijui kwanini kama njaa inakuuma kweli kweli wala huwezi kupata hamu ya ugali maharage, au ugali mchicha... yaani hapo lazima utamani chips kuku, na pepsi ya bariiiiiiidi, na pili pili ya kutafunia!
 
Hii bangi tu
 
Kwanini 100km, Chalinze wahudumie morogoro mjini! Wapi huko kwenye umbali mrefu hivo? Na sehemu kama hizo zinaweza kuwa ngapi?
 
TANESCO hawahawa waliokuwa wanajilipa mpaka milioni 60 bonus ya mtu mmoja mwisho wa mwaka?

Ukitaka umeme unanunua nguzo zao?

Ukiwa na kiwanda kikubwa unanua Transfoma na hawakurudishii gharama zao wakati huohuo umeme wao unanunua?

Unahitaji kujua kwamba matatizo ya Tanesco ni makubwa zaidi ya hio service charge.
 
Hiyo service charge tunalipa sema wewe huko field ulienda kupoteza muda tu, means kwa sasa baadhi ya garama hazijawekwa kama zamani, but now tunalipa kwa manunuzi ya umeme, angalia yake makato baada ya kununua umeme ndipo utajua.
 
Utakua mchawi wewe, vyuma vimekaza alafu unajiongelesha utumbo, kama unaitaka hiyo service charge ww Nenda kawaombe tanesco wakuekee mjaalaana mkubwa, unakatwa na wachawi
 
unatoa mbwa wewe itakua unakaa kwenu bado kodi shikamoo au umeachiwa nyumba ya urithi na huchangii huduma za umeme hapo kwenu
 
Hesabu hizo piga kwa mteja aliye nje ya ofisi ya TANESCO
 
Mkuu ni kweli mchango wako, lakini chuki na povu jingi ulionalo labda ni matokeo ya watoa huduma wenyewe ni kwa namna gani wamekuwa wakiwahudumia watanzania? hapa nahisi ndio penye chuki halisi ya watanzania, ilifika mahala umeme ulionekana ni anasa wakati ni huduma muhimu, ilifika mahala ukilipia umeme utasahau maana iabidi uwabembelezeeeee na rushwa uwape ili waje kukufungia umeme, likitokea tatizo la nguzo kuanguka au waya kukatika watakuja katika muda watakao ilifika mahala baadhi ya staffs walijiona ka miungu watu hii kitu inauma sana na ndiyo inacreate chuki baina ya mtoa huduma na wapewa huduma na hii ndio maana unaona povu la kumwaga katika uzi huu, na sio watoa huduma hawa tu angalia hata watoa huduma wa kimiminika nao pia wako hovyo sana, sasa nambie ni nani atakubali kuwachangia ili waendelee ilhali huduma ni mbovu na wengi baadhi yao wametanguliza uchu wa rushwa.
Zamani kulikuwa na shirika moja la vilongalonga hawa nao walijisahau sana lakini wakaletewa wapinzani oooohh saa hizi kila siku wanabuni namna bora ya kujiendesha na washukuru bado wako mikononi, otherwise tungeshawasahau.
Watanzania si kwamba hawapendi maendeleo au hawapendi kuchangia maendeleo ya nchi lakini kuna vitu vinawakwaza mnooooo mpaka watu wakuwa na roho ngumu kuliko jiwe.
Ni mtazamo wangu tu.
 
Mkuu ni kweli, lakini ili hawa watoa huduma akili ziwakae sawa yabidi kuwe na ushindani, hawa jamaa hawana mshindani kwa hiyo usemayo ya kusimika nguzo na kadhalika ni lazima uwabembeleze kwa kuwa huna pa kwenda, nasistiza tena kwa msistizo hawa watafutiwe mwenza halafu kuwekwe mazingira bora ya ushindani kama hawatobadilika tutawasahau.
 
Ishauri serikali irudishe kodi ya kichwa maana serikali inatumia hela nyingi sana kujenga barabara, hospital, shule n.k au sio ndugu.
 
Mkuu hili shirika kumbuka halifanyi biashara badala yake ni huduma ivo hii kampuni sio business oriented kuna mambo mzigo mkubwa serikali inabeba imagine mtu analipa shirika 27000 na anapata service hizi
-Survyeying
-Meter
-Conductors
-Other accessories
ambapo hio 27k haiwezi kununua hata other accessories ukiachia labor charges na Transport Charges yani ni hatari
Bado JPM alitaka wapeleke dividend wakati Shirika kujiendesha lenyewe haliwezi
 

Hoja yako ime base upande mmoja hivyo haina mashiko
UNGEANZA KUTUELEZA MAPATO YA TANESCO KWA MWEZI NI KIASI GANI NA MGAWANYO WAKE
Ilitujiridhishe kwanza kile kinachokusanywa kinatumika vizuri na sio kinaishia kwenye .......................
wakati mwalimu analipwa kwenye 450,000 halafu unataka kumuongezea tena mzigo
 
wewe lazima ulijinyea class 1......akili mbofu kabisa....
 
Ishaurini serikali basi irudishe kodi ya kichwa (kila raia alipe kodi) ili tupate maendeleo makubwa kama mnafikiri maendeleo yanapatikana zaidi kwa kuwatoza raia.
Unanunua umeme na unalipa VAT 18%, REA 3% na EWURA 1%.Watu wanachangia maendeleo huko vijijini kwa kulipa hiyo REA 3% bila kelele lakini bado mnawaona sio wazalendo na uzalendo kwenu ni kuwatoza tu raia zaidi na zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…