Ushauri: TANESCO rudisheni Service Charges

Ushauri: TANESCO rudisheni Service Charges

Mkuu,kukubalika kwa post yako tunaangalia likes..je umepata likes ngapi??
 
Miaka ya nyuma kidogo TANESCO walikuwa wana charge Tsh. 7,000/= kwa mwezi kama Service Charge kwa wateja wake. Lakini ilikuja kufutwa kwakuwa ilionekana ni mzigo kwa watumiaji wa umeme hasa wale wa Tariff 1 na Tariff 0 kwakuwa ndio wateja zaidi ya 90% ya wateja wote wa TANESCO. Hii nikiri kwamba ulikuwa ni mzigo mkubwa sana kwa watumiaji wa umeme.

Katika uchunguzi wangu naona TANESCO wanajiendesha kwa gharama kubwa sana katika kuhudumia wateja wake maeneo mbalimbali nchini. Mfano mteja anaweza akawa yupo umbali wa Kilometre 100 kutoka ofisi zilipo na akatoa taarifa kuwa hana umeme. TANESCO wataenda kumhudumia na ajabu wanaenda kukuta ni Circuit Breaker tu imetrip. Hapo go and return umeenda 200km. Kwa gari yenye burning rate ya 5kms/l maana yake hapo umetumia litre 40. Let say litre 1 ni Tsh 2000.

Maana yake umetumia Tsh 80,000/= kwenda kumhudumia mteja tena wa Tariff 0 ambaye maximum ananunua umeme wa Tsh 9000 kwa mwezi. Hapo nimepigia mteja mmoja wa direction moja na pia gharama za wear and tear za gari hazijapigwa, gharama za kusogeza odometer karibu na service hazijapigwa. Sasa katika hili jaribu kuzidisha na magari yote Tanzania uone gharama zake. Hii kwangu mimi inachelewesha maendeleo kwa TANESCO hata kama wanapata faida.

Wazo langu ni kuwa TANESCO wa charge angalau Tsh 1000/= kwa mwezi kama mamlaka nyingine zinavyofanya. Naamini idadi ya wateja wa TANESCO wanaweza kuwa zaidi ya 2m. Maana yake hapo TANESCO wanaweza kupata zaidi ya Tsh. 2B kwa mwezi na zikasaidia kwenye mambo yafuatayo.

a) Kuboresha huduma kwa kuongeza idadi ya magari na wafanyakazi ili kuhudumia wateja ipasavyo.

b) Kupata fedha za kupeleka umeme maeneo ya kimkakati hasa viongozi wa kitaifa wanapoagiza.

c) Kuboresha hali ya umeme maeneo ambayo umeme sio mzuri sana.

d) Kupata fungu la kuhakikisha miundo mbinu chakavu inafanyiwa kazi na kupata reliable power supply.

e) n.k.

Najua hapa nitashambuliwa sana lakini lengo ni kujenga nchi na si vinginevyo.

Nawasilisha.
Nyegezi wewe, kodi ngapi tunalipa huku mitaani?
 
Naomba ujibu hoja. Nilijua nitashambuliwa sana. Juzi juzi hapa mbunge mmoja sikumbuki jina alitoa wazo la kodi fulani alishambuliwa kama nini vile. Lete wazo.
Kwahiyo service charge iliyokuwepo, ilikuwa inakidhi haja ya shida unazozisema? Umeshafanya utafiti kujua kwnn ilifutwa? Nimekushangaa sana bro.
 
Mna roho mbaya hapo kadegree kamoja tuu na hata vieti hujawahi panda ukija kupanda vieiti utawakumbuka vijijini huko ambako hata hiyo elfu tano ya kupata mlo inawasumbua ndio unakuja na hoja hizo sema sishangai Tanzania imesomesha wageni wengi sana na wengine ndio watoa maamuzi wana roho mbaya mno na ya kikatili Kama yako...
Ukiona hivyo huyu jamaa bado anaishi kwao au kwa shemeji yake

Ova
 
Miaka ya nyuma kidogo TANESCO walikuwa wana charge Tsh. 7,000/= kwa mwezi kama Service Charge kwa wateja wake. Lakini ilikuja kufutwa kwakuwa ilionekana ni mzigo kwa watumiaji wa umeme hasa wale wa Tariff 1 na Tariff 0 kwakuwa ndio wateja zaidi ya 90% ya wateja wote wa TANESCO. Hii nikiri kwamba ulikuwa ni mzigo mkubwa sana kwa watumiaji wa umeme.

Katika uchunguzi wangu naona TANESCO wanajiendesha kwa gharama kubwa sana katika kuhudumia wateja wake maeneo mbalimbali nchini. Mfano mteja anaweza akawa yupo umbali wa Kilometre 100 kutoka ofisi zilipo na akatoa taarifa kuwa hana umeme. TANESCO wataenda kumhudumia na ajabu wanaenda kukuta ni Circuit Breaker tu imetrip. Hapo go and return umeenda 200km. Kwa gari yenye burning rate ya 5kms/l maana yake hapo umetumia litre 40. Let say litre 1 ni Tsh 2000.

Maana yake umetumia Tsh 80,000/= kwenda kumhudumia mteja tena wa Tariff 0 ambaye maximum ananunua umeme wa Tsh 9000 kwa mwezi. Hapo nimepigia mteja mmoja wa direction moja na pia gharama za wear and tear za gari hazijapigwa, gharama za kusogeza odometer karibu na service hazijapigwa. Sasa katika hili jaribu kuzidisha na magari yote Tanzania uone gharama zake. Hii kwangu mimi inachelewesha maendeleo kwa TANESCO hata kama wanapata faida.

Wazo langu ni kuwa TANESCO wa charge angalau Tsh 1000/= kwa mwezi kama mamlaka nyingine zinavyofanya. Naamini idadi ya wateja wa TANESCO wanaweza kuwa zaidi ya 2m. Maana yake hapo TANESCO wanaweza kupata zaidi ya Tsh. 2B kwa mwezi na zikasaidia kwenye mambo yafuatayo.

a) Kuboresha huduma kwa kuongeza idadi ya magari na wafanyakazi ili kuhudumia wateja ipasavyo.

b) Kupata fedha za kupeleka umeme maeneo ya kimkakati hasa viongozi wa kitaifa wanapoagiza.

c) Kuboresha hali ya umeme maeneo ambayo umeme sio mzuri sana.

d) Kupata fungu la kuhakikisha miundo mbinu chakavu inafanyiwa kazi na kupata reliable power supply.

e) n.k.

Najua hapa nitashambuliwa sana lakini lengo ni kujenga nchi na si vinginevyo.

Nawasilisha.
Wewe utakuwa ni mshirikina.
 
Wewe kweli umeshiba ,yaani warudishe service charges kwa mfano wako huo tu mmoja wa kitopolo? Inakuwaje tanesco zaidi ya 200km hawana ofisi? Unajua kitu kinaitwa Subcontractor? Tanesco inatakiwa waimplement subcon ambao wanatoa huduma sehemu ambapo hawapatikani,watakuwa wanawalipa according na fault inayotokea...Hakuna haja ya kutembea km 200 ,ni kumpigia tu subcon wa eneo husika kwenda kurekebisha hiyo circuit breaker iliyotrip.

Service charges ni wizi wa mchana kweupe,REA,EWURA,VAT hayo makato yanatosha msiongeze mengine.
 
Naomba ujibu hoja. Nilijua nitashambuliwa sana. Juzi juzi hapa mbunge mmoja sikumbuki jina alitoa wazo la kodi fulani alishambuliwa kama nini vile. Lete wazo.

Huyo Mbunge Zungu anayesema wananchi wakatwe kodi yeye mwenye mshahara wake haukatwi kodi...angesuggest yeye kwanza waanze kukatwa kodi ndio aje kwa wananchi.
 
Kwa Nini usipendekeze Tanesco na wao walipe umeme bila offer ya punguzo? Kwani wao wamejipunguzia gharama za umeme karibu nusu ya Watu wengine
 
Naomba ujibu hoja. Nilijua nitashambuliwa sana. Juzi juzi hapa mbunge mmoja sikumbuki jina alitoa wazo la kodi fulani alishambuliwa kama nini vile. Lete wazo.
Unaonekana unalishwa na Shemeji anayemnyetua Dada yako. So hujui ugumu wa maisha
 
Acheni huo upuuzi mbweha nyie, unasingizia tariff 0 wakati mnatoza bei za umeme kwa viwango vya juu. Mimi matumizi yangu nyumba ya familia bili ya umeme haipungui elf 50 kwa mwezi utafikiri nina kiwanda cha welding, bullshit!!
 
Vipi waungwana. Naona kodi imeingizwa tayari. Sawa na hichi nilichokisema hapa.
 
Miaka ya nyuma kidogo TANESCO walikuwa wana charge Tsh. 7,000/= kwa mwezi kama Service Charge kwa wateja wake. Lakini ilikuja kufutwa kwakuwa ilionekana ni mzigo kwa watumiaji wa umeme hasa wale wa Tariff 1 na Tariff 0 kwakuwa ndio wateja zaidi ya 90% ya wateja wote wa TANESCO. Hii nikiri kwamba ulikuwa ni mzigo mkubwa sana kwa watumiaji wa umeme.

Katika uchunguzi wangu naona TANESCO wanajiendesha kwa gharama kubwa sana katika kuhudumia wateja wake maeneo mbalimbali nchini. Mfano mteja anaweza akawa yupo umbali wa Kilometre 100 kutoka ofisi zilipo na akatoa taarifa kuwa hana umeme. TANESCO wataenda kumhudumia na ajabu wanaenda kukuta ni Circuit Breaker tu imetrip. Hapo go and return umeenda 200km. Kwa gari yenye burning rate ya 5kms/l maana yake hapo umetumia litre 40. Let say litre 1 ni Tsh 2000.

Maana yake umetumia Tsh 80,000/= kwenda kumhudumia mteja tena wa Tariff 0 ambaye maximum ananunua umeme wa Tsh 9000 kwa mwezi. Hapo nimepigia mteja mmoja wa direction moja na pia gharama za wear and tear za gari hazijapigwa, gharama za kusogeza odometer karibu na service hazijapigwa. Sasa katika hili jaribu kuzidisha na magari yote Tanzania uone gharama zake. Hii kwangu mimi inachelewesha maendeleo kwa TANESCO hata kama wanapata faida.

Wazo langu ni kuwa TANESCO wa charge angalau Tsh 1000/= kwa mwezi kama mamlaka nyingine zinavyofanya. Naamini idadi ya wateja wa TANESCO wanaweza kuwa zaidi ya 2m. Maana yake hapo TANESCO wanaweza kupata zaidi ya Tsh. 2B kwa mwezi na zikasaidia kwenye mambo yafuatayo.

a) Kuboresha huduma kwa kuongeza idadi ya magari na wafanyakazi ili kuhudumia wateja ipasavyo.

b) Kupata fedha za kupeleka umeme maeneo ya kimkakati hasa viongozi wa kitaifa wanapoagiza.

c) Kuboresha hali ya umeme maeneo ambayo umeme sio mzuri sana.

d) Kupata fungu la kuhakikisha miundo mbinu chakavu inafanyiwa kazi na kupata reliable power supply.

e) n.k.

Najua hapa nitashambuliwa sana lakini lengo ni kujenga nchi na si vinginevyo.

Nawasilisha.
Kwa kuwa unapewa RUZUKU inayofanya usitumie mshahara wako, unafanya usahau machungu ya wananchi wa kipato cha chini ambao wanaishi chini ya dola moja. Unasahau kuwa umeme unalipiwa kwa sasa umeongezwa kodi kwa ajili ya kusambaza maeneo ya vijijini (REA) ambapo mwaka huu watamaliza hivyo hiyo hela inaweza kusaidia mambo mengine ya kuboresha
 
Nilitukwana sana humu. Leo yametimia.
 
Back
Top Bottom