Ushauri: Tanzania iwafukuze mabalozi wa Marekani na Uingereza kwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu

Ushauri: Tanzania iwafukuze mabalozi wa Marekani na Uingereza kwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu

Inafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.

Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa.

Kauli hizi zinaingilia taratibu za nchi yetu, na in tabia za kibeberu na kizandiki.

Dawa in moja tu, wafukuzwe na balozi zao zifungwe kwa muda usiojulikana.

Nashauri UVCCM kwa kushirikiana na MATEGE wafanye maandamano ya amani kwenda kwenye balozi hizo wakiwa na mabango yenye laana dhidi ya mabeberu hawa.
Una elimu gani aisee!
 
Inafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.

Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa.

Kauli hizi zinaingilia taratibu za nchi yetu, na in tabia za kibeberu na kizandiki.

Dawa in moja tu, wafukuzwe na balozi zao zifungwe kwa muda usiojulikana.

Nashauri UVCCM kwa kushirikiana na MATEGE wafanye maandamano ya amani kwenda kwenye balozi hizo wakiwa na mabango yenye laana dhidi ya mabeberu hawa.
Haina haja ya kuwafukuza, waacheni tu! Walitabiri tutaokotwa mizoga barabarani na haijatokea. Sasa hivi wenyewe wanashangaa kwanini Afrika corona haijaenea sana. Kwa hiyo hata hawa mabalozi watakuja kukanusha vipeperushi vyao wenyewe
 
Inafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.

Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa.

Kauli hizi zinaingilia taratibu za nchi yetu, na in tabia za kibeberu na kizandiki.

Dawa in moja tu, wafukuzwe na balozi zao zifungwe kwa muda usiojulikana.

Nashauri UVCCM kwa kushirikiana na MATEGE wafanye maandamano ya amani kwenda kwenye balozi hizo wakiwa na mabango yenye laana dhidi ya mabeberu hawa.
Tunategemea hao wakubwa kwa mambo mengi yakiwemo ulinzi na usalama,WB,IMF,Science na Techinogia,Utalii,Tafiti,biashara,Elimu ya vyuo vikuu,ustaarabu n.k
UK na USA ni wanachama wa kudumu UN wana kura ya veto umesahau yaliompata Salim alipokataliwa na USA wakati akigombea ukatibu mkuu wa UN?
Je wewe umeishapata sifa hizo au unajiandaa kuishi sayari nyingine?
 
Inafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.

Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa.

Kauli hizi zinaingilia taratibu za nchi yetu, na in tabia za kibeberu na kizandiki.

Dawa in moja tu, wafukuzwe na balozi zao zifungwe kwa muda usiojulikana.

Nashauri UVCCM kwa kushirikiana na MATEGE wafanye maandamano ya amani kwenda kwenye balozi hizo wakiwa na mabango yenye laana dhidi ya mabeberu hawa.


huwezi kukata tawi ulilo likalia..
 
Unafikiri mambo ni rahisi kama unavyofikiria hivi unajua mfadhili mkubwa wa hizo ARV unazokunywa hapo ni nani?
 
Solution ni kufukuza tu,
Sijui hata kama huko mtaani kwenu mnasalimiana na majirani.

Kila mtu kwenu mbaya, ok sawa, tukutane October.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ni sawa na mwanamke kumfukuza mmewe ndani ya nyumba wakati ndiye anayemlisha! Tunawafukuzaje wakati wao ndiyo wanatupa misaada?
 
Back
Top Bottom