Bushloiaz
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 743
- 880
Kwa jibu hili we ni bumundaPesa za ndani tumekusanya nyingi kuliko wakati wowote tangu uhuru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jibu hili we ni bumundaPesa za ndani tumekusanya nyingi kuliko wakati wowote tangu uhuru
Na CAG amesema hatujawahi kuvuka lengo la makusanyo tangu 2015, so angalia Takwimu zako tenaPesa za ndani tumekusanya nyingi kuliko wakati wowote tangu uhuru
Una elimu gani aisee!Inafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.
Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa.
Kauli hizi zinaingilia taratibu za nchi yetu, na in tabia za kibeberu na kizandiki.
Dawa in moja tu, wafukuzwe na balozi zao zifungwe kwa muda usiojulikana.
Nashauri UVCCM kwa kushirikiana na MATEGE wafanye maandamano ya amani kwenda kwenye balozi hizo wakiwa na mabango yenye laana dhidi ya mabeberu hawa.
Saa nyingine utani sio mzuri mkuu!Tuna akiba ya kutosha hazina.Hatutaki pesa za mabeberu
Haina haja ya kuwafukuza, waacheni tu! Walitabiri tutaokotwa mizoga barabarani na haijatokea. Sasa hivi wenyewe wanashangaa kwanini Afrika corona haijaenea sana. Kwa hiyo hata hawa mabalozi watakuja kukanusha vipeperushi vyao wenyeweInafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.
Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa.
Kauli hizi zinaingilia taratibu za nchi yetu, na in tabia za kibeberu na kizandiki.
Dawa in moja tu, wafukuzwe na balozi zao zifungwe kwa muda usiojulikana.
Nashauri UVCCM kwa kushirikiana na MATEGE wafanye maandamano ya amani kwenda kwenye balozi hizo wakiwa na mabango yenye laana dhidi ya mabeberu hawa.
Nyau anampiga mkwara Simba haya jaribuni muoneNaunga mkono hoja.
Nami hili niliwahi kushauri
Rais Magufuli, please don't bow down kwa hawa mabeberu wa US na EU, waeleze Tanzania ni nchi, a sovereign state - JamiiForums
US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali? - JamiiForums
Swali linabaki, can we stand?.
P
Nyie si mnawanachama wengi nchini andamaneniNi kweli tunatakiwa tukemee hii hali,au kufanya hata maandamano ya kupinga wanachokifanya,ila kufunga hizo balozi iwe ni hatua ya mwisho sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunategemea hao wakubwa kwa mambo mengi yakiwemo ulinzi na usalama,WB,IMF,Science na Techinogia,Utalii,Tafiti,biashara,Elimu ya vyuo vikuu,ustaarabu n.kInafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.
Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa.
Kauli hizi zinaingilia taratibu za nchi yetu, na in tabia za kibeberu na kizandiki.
Dawa in moja tu, wafukuzwe na balozi zao zifungwe kwa muda usiojulikana.
Nashauri UVCCM kwa kushirikiana na MATEGE wafanye maandamano ya amani kwenda kwenye balozi hizo wakiwa na mabango yenye laana dhidi ya mabeberu hawa.
Inafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.
Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa.
Kauli hizi zinaingilia taratibu za nchi yetu, na in tabia za kibeberu na kizandiki.
Dawa in moja tu, wafukuzwe na balozi zao zifungwe kwa muda usiojulikana.
Nashauri UVCCM kwa kushirikiana na MATEGE wafanye maandamano ya amani kwenda kwenye balozi hizo wakiwa na mabango yenye laana dhidi ya mabeberu hawa.