Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Tangu Rwanda aingie East Africa, alianzisha mpango wa kuitenga Tanzania wa "Coallition of The Willing", ambao haujawasaidia chochote hadi sasa. Pia,wamekuwa wakipoteza uaminifu kwa Tanzania kwa kutuwekea vikwazo. Mfano: Walianzisha kutoza ushuru wa laki tangi kila lorry linalopita kwao kwenda DRC (hii ni baada ya Operation Kimbunga na kukata mkia wa M23.
Juzi kwa dharau, kaweka kikao na coalition yao. Na walifanya hivyo makusudi kuiumiza moyo Tanzania. Na amepewa bandari kavu na Kenyatta kama mbadala wa bandari ya DSM.
Kama option, sisi mizigo yetu mingi inaelekea Congo, ni rahisi zaidi, na ni kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kama tukiunganisha SGR toka Kigoma, Burundi hadi Congo. Halafu baadaye ndio tujenge ile aliyotudanganya Kagame ya Isaka hadi Kigali.
Hapa madereva ni raia wetu hawatanyanyaswa tena kule Rwanda na tutakuwa na option ya kutumia either Burundi au rwanda kupeleka mizigo Congo.
Shida ni kwamba, Kagame yuko loyal sana kwa wamagharibi ambao ndio wanatupiga sana vita sisi.
Juzi kwa dharau, kaweka kikao na coalition yao. Na walifanya hivyo makusudi kuiumiza moyo Tanzania. Na amepewa bandari kavu na Kenyatta kama mbadala wa bandari ya DSM.
Kama option, sisi mizigo yetu mingi inaelekea Congo, ni rahisi zaidi, na ni kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kama tukiunganisha SGR toka Kigoma, Burundi hadi Congo. Halafu baadaye ndio tujenge ile aliyotudanganya Kagame ya Isaka hadi Kigali.
Hapa madereva ni raia wetu hawatanyanyaswa tena kule Rwanda na tutakuwa na option ya kutumia either Burundi au rwanda kupeleka mizigo Congo.
Shida ni kwamba, Kagame yuko loyal sana kwa wamagharibi ambao ndio wanatupiga sana vita sisi.