wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Wewe ni mpumbavu sana, kwahiyo kama reli itafika kwa kuchelewa kigoma ndio tusijenge?
Kwani relibya kati haijafika kigoma? Unajua toka kigoma hadi Drc through Burundi ni pafupi kuliko Dsm to morogoro? Tukisema Conho unafikiri tunaongelea Kinshasa? Ni huku mashariki just kwenye ardhi yao wanapopakana na Burundi.Tangu SGR ianze kujengwa mpk leo iko tu hapo Moro na yenyewe imekamilika kwa 70% tu.Kufika Mwanza itafika lini?
Je,hilo suala la kujenga reli kufika Burundi au Drc kwa sasa hivi huoni ni ndoto za mchana kabisa?Burundi ambayo imeshindwa kuchangia hata uanachama wake(Membership fee) kwenye EAC ikisema yenyewe ni nchi ndogo haina uwezo wa kuchangia sawa na nchi kubwa ndio itaweza kuchangia ujenzi wa Reli?Impossible
Tuwe na plan halisi na sio za kujifurahisha tu.
Tatizo kuna wengine wanaongea kwa mihemko ya kinyumbani bila kuwa na economic viability ya huo mradi. Hii reli ya Tazara ipo under utilized then ujenge tena SGR! Kaaazi kweli kweli! Wakumbuke kwamba wanaongelea mradi wa matrilion ya Tsh hapa!Hivi TAZARA wanakwenda wapi mkuu 'Technically', au sijakuelewa?
Labda useme TAZARA iimarishwe zaidi. Sioni sababu ya kuacha kuitumia, na kuanza kujenga reli nyingine mpya kwa sasa.
Haya yatakuwa maajabu ya dunia!
Kwani relibya kati haijafika kigoma? Unajua toka kigoma hadi Drc through Burundi ni pafupi kuliko Dsm to morogoro? Tukisema Conho unafikiri tunaongelea Kinshasa? Ni huku mashariki just kwenye ardhi yao wanapopakana na Burundi.
Halafu,haimaanishi ukijenga leo umalize kesho, cha muhimu nia iwepo. Kwahiyo utakaaga tu hivyohivyo kwasababu ni parefu? We una miaka mingapi nisijekuwa naongea na mtu ambaye hajabalehe.
Tatizo kuna wengine wanaongea kwa mihemko ya kinyumbani bila kuwa na economic viability ya huo mradi. Hii reli ya Tazara ipo under utilized then ujenge tena SGR! Kaaazi kweli kweli! Wakumbuke kwamba wanaongelea mradi wa matrilion ya Tsh hapa!
Kwanini mtu unahangaika na kua na roho mbaya yakutaka kuona rwanda inaumia?nafikiri kama tanzania wasingekua na faidi ya kufanya biashara na rwanda wasinge panga hiyo project .kwangu mimi mawazo yako ni wivu tu unakusumbua.Mkuu 'Chapwa24',
Rwanda asikuumize akili hata kidogo. Huyo hana mbadala wa kuitegemea Tanzania. Hawezi kupambana na geografia akaishinda.
Sisi wenyewe ndio tunaoweza kumlazimisha aende huko unakokusema, kwa kumpa masharti magumu ya kutumia huku kwetu; vinginvyo hakuna namna ya yeye kuendelea na safari hiyo ndefu kwenda Mombasa.
Hakuna mfanya biashara yeyote mwenye akili za aina hiyo.
Baada ya kuyaandika hayo, ninakuunga mkono kwa haja ya kutokimbilia kupeleka SGR Rwanda, kwa lengo la kuifikia DRC.
Burundi ni bora zaidi kuliko Rwanda. Kwa sasa, kama tunataka ni kukazana sana kuipeleka reli hadi, wapi pale karibu na Kahama?...; na kuweka Bandari kavu pale...
Nafikiri Rwanda ni strategic partner ambae huwezi kwepa kufanya nae biashara yuko centre ya Bukavu , Goma ,uganda and Burundi, kwa kupitia Rwanda utaweza ku supply kwa hizo area kirahisi sana na resources zitakazo tumika si nyingi ukilinganisha na kujenga reli mpaka kigoma.Mkuu 'Chapwa24',
Rwanda asikuumize akili hata kidogo. Huyo hana mbadala wa kuitegemea Tanzania. Hawezi kupambana na geografia akaishinda.
Sisi wenyewe ndio tunaoweza kumlazimisha aende huko unakokusema, kwa kumpa masharti magumu ya kutumia huku kwetu; vinginvyo hakuna namna ya yeye kuendelea na safari hiyo ndefu kwenda Mombasa.
Rwanda ni transit kituo CongoHii reli ingeenda Tunduma-Zambia then Congo.
Congo & Zambia ni 100mil+ population
Rwanda ni 10mil+ population na factor ya kufadhili waasi congo hakuna uhakika wa mizigo ya wakongo kuwa salama.
Wivu na Rwanda. Wivu upi? Rwanda ana nini cha ziada kuwa na wivu juu yake!Kwanini mtu unahangaika na kua na roho mbaya yakutaka kuona rwanda inaumia?nafikiri kama tanzania wasingekua na faidi ya kufanya biashara na rwanda wasinge panga hiyo project .kwangu mimi mawazo yako ni wivu tu unakusumbua.
Wewe tatizo lako ni chuki tu kwa Raisi wa Rwanda,lakini kwa mtu mwenye kuona mbali rwanda ina mchango mkubwa kwa uchumi wa tanzania.Wivu na Rwanda. Wivu upi? Rwanda ana nini cha ziada kuwa na wivu juu yake!
Rwanda hana "u-strategic" wowote ambao Tanzania inalazimu amng'ang'anie.
Kitu pekee ni huko kumfikia DRC, lakini Burundi wapo, na Ziwa Tanganyika lipo tok chini kabisa mpakani na Zambia hadi Kigoma.
Rwanda chini ya Kagame ni 'snitch', sio nchi ya kuitegemea kwa chochote badala ya kukuletea mizozo isiyo na mwisho.
Basi nikupoze kidogo. Fikiri hivi. Rwanda haina mchango wa ziada kwa Tanzania kuliko majirani zake wengine.wewe tatizo lako nichuki tu kwa raisi wa rwanda,lakini kwa mtu mwenye kuona mbali rwanda ina mchango mkubwa kwa uchumi wa tanzania.
sio kutaka kuonekana,mchango uko wazi,hapa wote nikutegemeana,kila nchi inamuhitaji mwenzie katika masuala ya kiuchumi.Basi nikupoze kidogo. Fikiri hivi. Rwanda haina mchango wa ziada kwa Tanzania kuliko majirani zake wengine.
Tatizo ni hilo moja la kutaka muonekane mnao mchango mkubwa zaidi kuliko wengine. Hamnao.
sio kutaka kuonekana,mchango uko wazi,hapa wote nikutegemeana,kila nchi inamuhitaji mwenzie katika masuala ya kiuchumi.
Tanzania imtegemee Rwanda kiuchumi...; unautani sana wewe!sio kutaka kuonekana,mchango uko wazi,hapa wote nikutegemeana,kila nchi inamuhitaji mwenzie katika masuala ya kiuchumi.