Ushauri: Tofali za Kuchoma Vs Tofali za block

Ushauri: Tofali za Kuchoma Vs Tofali za block

Za kuchoma kuwa imara zaidi nakumbuka wakati tunapiga range tulijaribisha uwezo wa risasi kupenya kwenye kuta ambayo imejengewa na tofari la kuchoma then tukaja la cement matokeo yake la cement lilifail dhidi ya la kuchoma.
hahaha hii testing nimeipenda
 
Kwa nyumba ndg za kawaida paa la bati la para manne kawaida,
Msingi na Beams zinaeleweka, Swali langu ni Columns zake zinakwa wapi au ni nini Pale ? na hasa kama haina slab au canop yeyote ?
"paa la bati la para manne" sijaelewa hapo mkuu
 
ni nyumba ndogo ya kawaida. room tatu za kulala plus jiko,sebule,dining na vyoo
Nimeongelea general nikimaanisha any structure, ila kama ni nyumba ndogo haiitaji sana columns ila nyumba kama hii itategemea sana uimara wa msingi, beams na hali ya udongo.
 
Ni changamoto tu,ukitaka kujua ratio nzuri au mbaya litupe tofali moja kwa nguvu chini,likivunjika inatakiwa litoe vipande viwili tu, yenye ratio ya kihuni ukilitupa chini linavunjika lote hovyohovyo.
Wakati nachimbia conduct pipe wakitundua yani zile tofali zinapukutika yani hawa jamaa hawana huruma anakuuzia tofali ya block hazina ubora... Nimekuja gundua ni heri za kuchoma
 
Wakati nachimbia conduct pipe wakitundua yani zile tofali zinapukutika yani hawa jamaa hawana huruma anakuuzia tofali ya block hazina ubora... Nimekuja gundua ni heri za kuchoma
Kabisa mkuu
 
Mkuu zipo tofali za udongo no imara mno kuliko za kuchoma na block tafadhali wasiliana na PIONEER BUILDERS kwa ushauri,nakisio ya gharama za ujenzi na ujenzi
 
Ndo maana kauleta Uzi hapa ili wataalamu wamshauri
Nashangaa sana kusikia tofali za kuchoma ETI ni imara kuliko za block ? ? nasema wazi haiwezekani kabisa, Labda na tena kwa mashaka mseme UKUTA wa matofali ya kuchoma sbb ya either double layer or kulaza tofali ILI uwe mpana kuliko ule UKUTA wa block , kwa maana hiyo yawezekana UKUTA wa T za kuchoma waweza kuwa imara kuliko UKUTA wa block tofali za inch 5 or 4 za kusimamisha.

NB; UIMARA wa tofali pekee waweza kuwa sio uimara wa nyumba na kuta zake,
Kama lengo ni nyumba Imara waone wataalam wakushauri vizuri.
 
Back
Top Bottom