USHAURI: Toyota Corona Vs Allex VS Carina TI ninunue ipi?

USHAURI: Toyota Corona Vs Allex VS Carina TI ninunue ipi?

Kawaida tu.

Kuna mtu anakaa Arusha anafanya kazi Moshi, kila siku kasoro jpili anangurumisha Harrier tako la nyani kwenda na kurudi.

Na mwingine anakaa Bagamoyo anafanya kazi UDSM kila siku anaenda na kurudi.
Bagamoyo kubwa sana ungesema bagamoyo Ipi ? Mapinga, kerege, zinga, kiromo, ukuni nk
 
Mshaurini vizuri..watu wajue ulaji wa mafuta upo very subjective to so many factors ie..
1. technology ya gari (mfano unetaja magari hapo sijui carina, Corolla, hizi gari tech ya zaman hazina fuel consumption optimization system kama vvti,valvematic,etc hivo hazipo fuel efficient.. engine zake zina operate at full capacity muda bila kujali circumstances, pia na old timing belts ambazo usipokua mfuatiliaji hukatika na kuleta mabalaa hasa kama engine ni interference engine design),
2. uendeshaji wa dereva,
3. barabara,
4. design ya tair na pressure kwenye tairi.
5. hali ya enjini ya (status ya compression power),
6.plugs, quality ya mafuta,
7. hauling load,
8. amount ya oxygen inayoingia kwa injini na uzima wa MAF(yaan ubora wa air-filter unayotumia na uzima wa mass air flow sensor)
9. weight ya gari husika.
10. design ya gear box (hapa gari zote alizotaja huyu jamaa zinakuta na traditional automatic gear box) but zingekua na CVT transmission maana yake fuel consumption ingekua chini..
11. Ubora wa gear box fluids (kama gari ni automatic)(uzima waclutch kama gari ni ni manual/automatic)
12. Electrical load kwenye gari mfano umeweka mataa (aftermarket lights), mziki mkubwa RMS 2000.. hapa Gari itakua inakula mafuta vizuri tu.
13. Level ya joto la kwenye surrounding..mfano kuendesha gari wakati jua kali/joto kali inafanya intake air iwe hot so hii ina negative impact kwenye air-fuel mixture ratio na kuongeza consumption kidogo.
14.

Kuhusu gari na rough road, issue ni miguu tu ndo itakupa cost ya frequent repair.. that being a case tafuta gar yenye dependent suspension design ndo itakufaa..ie allex/runx hizo Corolla , carina zina multlink suspension ambazo many things can go wrong ba costs za mabush hasa kwa nyuma kutokana na design ya suspension.but dependent suspension ipo na bush mbili tu kwa nyuma na ni very durable and dependable kwenye rough road na hakuna changamoto ya wheel mis-alignment.

But ungekua na idea nzuri ya namna ya ku maintain hybrid car(which is very easy kuliko gari ya kawaida) ngekushauri ununue hybrid car..(mie natumia Toyota Prius) ingekusaidia sana kwenye fuel..but kwakua mafundi wengi huku kwetu hawazijui kuzitengeneza wala hata kuzi diagnosis unaweza jikuta unaichukia kwa ghalama zinazotokana na mis- diagnosis. mfano mtu anaweza nunulishwa betri ya hybrid kumbe tatizo ni battery ya v12 imeisha.. au unakuta kuna corrosion kwenye wire ambazo zinahitaji kusafishwa tu.
 
Mshaurini vizuri..watu wajue ulaji wa mafuta upo very subjective to so many factors ie..
1. technology ya gari (mfano unetaja magari hapo sijui carina, Corolla, hizi gari tech ya zaman hazina fuel consumption optimization system kama vvti,valvematic,etc hivo hazipo fuel efficient.. engine zake zina operate at full capacity muda bila kujali circumstances, pia na old timing belts ambazo usipokua mfuatiliaji hukatika na kuleta mabalaa hasa kama engine ni interference engine design),
2. uendeshaji wa dereva,
3. barabara,
4. design ya tair na pressure kwenye tairi.
5. hali ya enjini ya (status ya compression power),
6.plugs, quality ya mafuta,
7. hauling load,
8. amount ya oxygen inayoingia kwa injini na uzima wa MAF(yaan ubora wa air-filter unayotumia na uzima wa mass air flow sensor)
9. weight ya gari husika.
10. design ya gear box (hapa gari zote alizotaja huyu jamaa zinakuta na traditional automatic gear box) but zingekua na CVT transmission maana yake fuel consumption ingekua chini..
11. Ubora wa gear box fluids (kama gari ni automatic)(uzima waclutch kama gari ni ni manual/automatic)
12. Electrical load kwenye gari mfano umeweka mataa (aftermarket lights), mziki mkubwa RMS 2000.. hapa Gari itakua inakula mafuta vizuri tu.
13. Level ya joto la kwenye surrounding..mfano kuendesha gari wakati jua kali/joto kali inafanya intake air iwe hot so hii ina negative impact kwenye air-fuel mixture ratio na kuongeza consumption kidogo.
14.

Kuhusu gari na rough road, issue ni miguu tu ndo itakupa cost ya frequent repair.. that being a case tafuta gar yenye dependent suspension design ndo itakufaa..ie allex/runx hizo Corolla , carina zina multlink suspension ambazo many things can go wrong ba costs za mabush hasa kwa nyuma kutokana na design ya suspension.but dependent suspension ipo na bush mbili tu kwa nyuma na ni very durable and dependable kwenye rough road na hakuna changamoto ya wheel mis-alignment.

But ungekua na idea nzuri ya namna ya ku maintain hybrid car(which is very easy kuliko gari ya kawaida) ngekushauri ununue hybrid car..(mie natumia Toyota Prius) ingekusaidia sana kwenye fuel..but kwakua mafundi wengi huku kwetu hawazijui kuzitengeneza wala hata kuzi diagnosis unaweza jikuta unaichukia kwa ghalama zinazotokana na mis- diagnosis. mfano mtu anaweza nunulishwa betri ya hybrid kumbe tatizo ni battery ya v12 imeisha.. au unakuta kuna corrosion kwenye wire ambazo zinahitaji kusafishwa tu.

🫡
 
Mshaurini vizuri..watu wajue ulaji wa mafuta upo very subjective to so many factors ie..
1. technology ya gari (mfano unetaja magari hapo sijui carina, Corolla, hizi gari tech ya zaman hazina fuel consumption optimization system kama vvti,valvematic,etc hivo hazipo fuel efficient.. engine zake zina operate at full capacity muda bila kujali circumstances, pia na old timing belts ambazo usipokua mfuatiliaji hukatika na kuleta mabalaa hasa kama engine ni interference engine design),
2. uendeshaji wa dereva,
3. barabara,
4. design ya tair na pressure kwenye tairi.
5. hali ya enjini ya (status ya compression power),
6.plugs, quality ya mafuta,
7. hauling load,
8. amount ya oxygen inayoingia kwa injini na uzima wa MAF(yaan ubora wa air-filter unayotumia na uzima wa mass air flow sensor)
9. weight ya gari husika.
10. design ya gear box (hapa gari zote alizotaja huyu jamaa zinakuta na traditional automatic gear box) but zingekua na CVT transmission maana yake fuel consumption ingekua chini..
11. Ubora wa gear box fluids (kama gari ni automatic)(uzima waclutch kama gari ni ni manual/automatic)
12. Electrical load kwenye gari mfano umeweka mataa (aftermarket lights), mziki mkubwa RMS 2000.. hapa Gari itakua inakula mafuta vizuri tu.
13. Level ya joto la kwenye surrounding..mfano kuendesha gari wakati jua kali/joto kali inafanya intake air iwe hot so hii ina negative impact kwenye air-fuel mixture ratio na kuongeza consumption kidogo.
14.

Kuhusu gari na rough road, issue ni miguu tu ndo itakupa cost ya frequent repair.. that being a case tafuta gar yenye dependent suspension design ndo itakufaa..ie allex/runx hizo Corolla , carina zina multlink suspension ambazo many things can go wrong ba costs za mabush hasa kwa nyuma kutokana na design ya suspension.but dependent suspension ipo na bush mbili tu kwa nyuma na ni very durable and dependable kwenye rough road na hakuna changamoto ya wheel mis-alignment.

But ungekua na idea nzuri ya namna ya ku maintain hybrid car(which is very easy kuliko gari ya kawaida) ngekushauri ununue hybrid car..(mie natumia Toyota Prius) ingekusaidia sana kwenye fuel..but kwakua mafundi wengi huku kwetu hawazijui kuzitengeneza wala hata kuzi diagnosis unaweza jikuta unaichukia kwa ghalama zinazotokana na mis- diagnosis. mfano mtu anaweza nunulishwa betri ya hybrid kumbe tatizo ni battery ya v12 imeisha.. au unakuta kuna corrosion kwenye wire ambazo zinahitaji kusafishwa tu.
hivi mkuu kuna runx ya cc 1500?
 
Chukua gari hybrid ambayo inatembea 30 km kwa lita kuliko magari ya kizamani. Chukua toyota prius inaenda km 32 kwa lita. Na bei yake ni around 15 hadi 18 milkwa kilomita zako hizo utashangaa unatumia lita 4 tu za mafuta ambayo ni around elf 10
Prius hawezi bei. Pili, hybrid battery likifa utaimba hallelujah. Tuna mtu limekufa ameagiza. Kununua na kusafirisha $3400
 
Back
Top Bottom