Ushauri Toyota Funcargo

Ushauri Toyota Funcargo

Gumilapua

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2011
Posts
855
Reaction score
591
Habari wakuu!
Nataka kumnunulia my wife usafiri kwa mwonekano, bei, na specifications tumeipenda Toyota Funcargo. Sasa naomba ushauri juu ya uimara na upatikanaji wa spare.
 
spea ziko za kumwagaa tena za mafungu, angaliaaa katika gari 10 funcargo zitaputa 7.....upande wa mafuta ni economy....we mchukulie tu wife.
 
Kwangu mimi hiyo na OPA ndizo gari ndogo NAZOZICHUKIA kuliko zote, naonaga bora hata Vitz, Spacio, IST, Raum e.t.c.
 
Habari wakuu!
Nataka kumnunulia my wife usafiri kwa mwonekano, bei, na specifications tumeipenda Toyota Funcargo. Sasa naomba ushauri juu ya uimara na upatikanaji wa spare.

shape ya funcargo ilivyo mbaya....siamini kama kweli unamnunulia mkeo kipenzi.
 
Jamaa kaomba ushauri kuhusu uimara na upatikanaji spare mambo ya shape kasha decide mwenyew... Gumilapua hiyo gari spea zinapatikana mpya na hata used mtaa wa lindi..pia kwa matumizi yakwaida ni imara
 
Last edited by a moderator:
Jamaa kaomba ushauri kuhusu uimara na upatikanaji spare mambo ya shape kasha decide mwenyew... Gumilapua hiyo gari spea zinapatikana mpya na hata used mtaa wa lindi..pia kwa matumizi yakwaida ni imara

Asante mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru wakuu, maana kwa upande wa uimara na spare hakuna alietoa mapungufu, acha niende hatua inayofuata.
 
Ni gari nzuri.
Spea zipo nyingi na hainywi mafuta (no need of mchemsho)

Mnunulie
 
Back
Top Bottom