USHAURI: TRA ianze kutoa Takwimu za Mapato kila mwezi ili kwendana na kasi ya Rais Samia

USHAURI: TRA ianze kutoa Takwimu za Mapato kila mwezi ili kwendana na kasi ya Rais Samia

Fatma-Zehra

Senior Member
Joined
Oct 18, 2020
Posts
192
Reaction score
1,063
Salaam TRA.

Mama took office in late March. Kwa hiyo ni vigumu kumwekea mzigo wa March 2021. Naomba mambo yake yaanze Aprili 2021. Msimchoshe na mambo ya nyuma, yaani kabla ya April 01. Ombi langu kwa TRA, kindly update the nation. Mmekusanya sh ngapi Mwezi Aprili?
 
Tuko bize na mahindi Namanga, tulia kwanza tupate chanjo Kenya
 
Mkuu takwimu hizi kamwe hazitatolewa. Kwani katika report ya CAG ulisikia ofc ya makamo wa rais, waziri mkuu na waziri wa fedha zikiongelewa?
 
Siku zingine ulikuwa unawaomba wewe watoe mapato?.
 
Wewe mama amesema uchumi umeshuka kutoka 6.9-4.6 kutokana na Corona hivyo makusanyo lazima yapungue au utataka takwimu za uongo kama za mwendazake
 
Ili upate nini , kwa mfano ukiambiwamapato yameongzeka,Mosi utajua ukwapuaji/ukusanyaji kodi wa Task force wanguvu wa rafiki yaki Mwedazake.
 
Serikali ingetafuta namna ya kujipa challenge, watangaze takwimu bila kuongeza chumvi ili siku wakitangaza kidogo wajiulize wamekosea wapi, kutangaza takwimu public kunaongeza self motivation.
 
Back
Top Bottom