Ushauri kwa dada zangu, seminary na madrasa boys ndio husband material.Japokuwa hili kundi la wanaume waaminifu ndio linalo ongozwa kuumizwa na mapenzi mpaka kuchukua hatua ambazo sometimes zina wacost maisha yao.Ila wengi wao wanajua kupenda na wanajua majukumu yao kama wanaume na mara zote hutimiza ahadi zao (ndoa).
Tatizo dada zangu wengi siku hizi moja akili zenu, zipo kwenye pesa na wahuni (playboys) na sometimes mlivyo wa puuzi unampenda mwanaume kisa anajua kuvaa ,ana six packs,anajua kukojoza, sijui ana swaga, hivi vyote ni upuuzi ,kama atashindwa kutimiza majukumu yake kama mwanaume ya kukupenda wewe na kukutimizia mahitaji yako ya msingi kama mwanamke na mara zote kundi hili ndio limeleta vilio vyingi vya single mother, kwani wamekuwa kama machine za kuzalisha single mother na kuwaacha.
Ukimpata mseminary au kijana wa madrasa mng'ang'anie na umpende kweli kwa ajili ya future yako ya baadae, hayo maswala sijui ya kukojozwa mara kupiga pamba unaweza ukamwelekeza.
Ila kama unataka anayejua kupiga pamba na kukojoza na baadae kukupiga chini baada ya kukuzalisha endelea nae kwani dunia ni yako na maamuzi ni yako.
Usiku mwema.
Tatizo dada zangu wengi siku hizi moja akili zenu, zipo kwenye pesa na wahuni (playboys) na sometimes mlivyo wa puuzi unampenda mwanaume kisa anajua kuvaa ,ana six packs,anajua kukojoza, sijui ana swaga, hivi vyote ni upuuzi ,kama atashindwa kutimiza majukumu yake kama mwanaume ya kukupenda wewe na kukutimizia mahitaji yako ya msingi kama mwanamke na mara zote kundi hili ndio limeleta vilio vyingi vya single mother, kwani wamekuwa kama machine za kuzalisha single mother na kuwaacha.
Ukimpata mseminary au kijana wa madrasa mng'ang'anie na umpende kweli kwa ajili ya future yako ya baadae, hayo maswala sijui ya kukojozwa mara kupiga pamba unaweza ukamwelekeza.
Ila kama unataka anayejua kupiga pamba na kukojoza na baadae kukupiga chini baada ya kukuzalisha endelea nae kwani dunia ni yako na maamuzi ni yako.
Usiku mwema.