Ushauri tu: Wapambe tumwepushe Rais na sifa zinazoweza kumdhuru

Ushauri tu: Wapambe tumwepushe Rais na sifa zinazoweza kumdhuru

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594


Nimeona clip hii ya uchambuzi wa kitabia, ambao nimeona vema kushare.

Kimsingi waanasiasa walio karibu na rais inabidi waelewe kuwa Rais ni binadamu.

Kwa kujipendekeza kwao wasijekufuru kumfananisha Rais na Mwenyezi Mungu kwa hali yoyote.

Ni ushauri tu.
 
Vipi ikatokea na mhusika mwenyewe naye kupenda huo utukufu na sifa? Maana huu utaratibu uliasisiwa awamu ya 5 bila shaka.
 
Huyu naye mjinga tu! Unaunganisha unganisha maneno tu! Majungu tu ndo unafanyia kazi!
 
Hii tabia iliasisiwa na Magufuli na yeye anaiendeleza. Ulitakiwa kumkemea hili miaka 6 nyuma.
 
Na wajue kuwa miradi inaendeshwa kwa kodi za watanzania, sio pesa ya mtu binafsi. Viongozi wengi wamesahau kuwa tunaishi nchi ya kidemokrasia, wamebaki kusifu kama tuko North Korea.

Ni haki Mh. Rais kupongezwa kusimamia taifa na ni vizuri itifaki ikapewa kipaumbele. Lakini, sio kwa kufanya kama kumuabudu mtu.
 
Unafikiri Rais huwa anataka asifiwe kwa utendaji wake? Mfano Magufuli hakuanza kusifiwa akiwa Rais Magufuli alikuwa na sifa ya uchapakazi tokea akiwa Waziri! Ukiona wengi wanaofanya hivo ni ujinga wao tu! Na kujipendekeza ili kupata cheo lakini pia huyu bwana anasema Magufuli alijifanya Mungu sidhani kama Magufuli akuwa hivo maana pia hata yeye alisema nitakufa!

Sema watu wenye ajungu na wanafiki, wezi na wapiga dili huwa hawataki kiongizi anayesimamia anachokiamini! Ukimsikiliza huyu bwana hana hoja hoja yake eti Magufuli alijifanya Mungu! Ni waulize hata mtaani kwako au hapo Dar kuna watu wanaojifanya kuabudiwa kama wahindi na mabosi huko maofisini?

Huyo jamaa ni mnafiki na utajikuta hana hata cha maana alichofanya! Sasa Samia yupo Madarakani nini cha maana kimeongezeka? Mi naona matatizo ndo mengi zaidi, umeme kukatika ovyo, kupanda kwa bidhaaa, matukio ya mauaji kuongezeka na ufisadi kuongezeka n.k!
 
Hiyo ndio hulka ya viongozi wa ccm na wanachama wao! Wanatukuza hadi kumpa sifa mwanadamu badala ya Mungu!
Siku hizi sio Serikali tena bali Raisi!
Raisi atoa mabilioni kujenga visima!
Raisi atoa ajira mamilioni!
Raisi atoa bilioni kwa kila halmashauri
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
CCM wanacheza na udhaifu wa mtu aliye madarakani
Ndivyo walivyo wasaka vyeo miaka yote iliyopita, maana wao huwa wanaamini kwamba wakubwa wanapenda sifa kwahiyo ukitaka teuzi jitahidi kumsifu mkulu tu basi umeshamaliza kazi !!! Sifa zikianza kutolewa mpaka Mimi ninayesikiliza naona aibu sasa sijui anayesifiwa huwa anajisikiaje !! Kwa kweli hili ni tatizo kubwa !!
 
Ndivyo walivyo wasaka vyeo miaka yote iliyopita, maana wao huwa wanaamini kwamba wakubwa wanapenda sifa kwahiyo ukitaka teuzi jitahidi kumsifu mkulu tu basi umeshamaliza kazi !!! Sifa zikianza kutolewa mpaka Mimi ninayesikiliza naona aibu sasa sijui anayesifiwa huwa anajisikiaje !! Kwa kweli hili ni tatizo kubwa !!
Aibu sn
 
Unafikiri Rais huwa anataka asifiwe kwa utendaji wake? Mfano Magufuli hakuanza kusifiwa akiwa Rais Magufuli alikuwa na sifa ya uchapakazi tokea akiwa Waziri! Ukiona wengi wanaofanya hivo ni ujinga wao tu! Na kujipendekeza ili kupata cheo lakini pia huyu bwana anasema Magufuli alijifanya Mungu sidhani kama Magufuli akuwa hivo maana pia hata yeye alisema nitakufa!

Sema watu wenye ajungu na wanafiki, wezi na wapiga dili huwa hawataki kiongizi anayesimamia anachokiamini! Ukimsikiliza huyu bwana hana hoja hoja yake eti Magufuli alijifanya Mungu! Ni waulize hata mtaani kwako au hapo Dar kuna watu wanaojifanya kuabudiwa kama wahindi na mabosi huko maofisini?

Huyo jamaa ni mnafiki na utajikuta hana hata cha maana alichofanya! Sasa Samia yupo Madarakani nini cha maana kimeongezeka? Mi naona matatizo ndo mengi zaidi, umeme kukatika ovyo, kupanda kwa bidhaaa, matukio ya mauaji kuongezeka na ufisadi kuongezeka n.k!
Ni kweli inawezekana halikuwa hapendi lakini alifanya nini kudhihirisha alikuwa hapendi? Herode alifanya kosa Kama Hilo. Matendo 12:23-24. Waliomfananisha Herode na Mungu ni wapambe wake sawa,lakini yeye alifanya nini! Alikuwa na uwezo wa kukaripia au kuchukua hatua nyingine yoyote, kule kunyamazia kufuru kama hizo ndio kosa lake.
 
Hiyo ndio hulka ya viongozi wa ccm na wanachama wao! Wanatukuza hadi kumpa sifa mwanadamu badala ya Mungu!
Siku hizi sio Serikali tena bali Raisi!
Raisi atoa mabilioni kujenga visima!
Raisi atoa ajira mamilioni!
Raisi atoa bilioni kwa kila halmashauri
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kuna wakati Mwalimu Nyerere alikemea, tenz mara mbili.
Mara ya kwanza Alikataa kata kata kuitwa Mtukufu.

Mara ya pili, katika ule msemo wa Zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM.
Napo aliukataa msemo huo maana aliwaambia wanaompamba kuwa Mwenyekiti anaweza kuwa na fikra zisizo sahihi.
Hapa tuna mfano mzuri sana baadaye, Magufuli.
 
View attachment 2119801

Nimeona clip hii ya uchambuzi wa kitabia, ambao nimeona vema kushare.

Kimsingi waanasiasa walio karibu na rais inabidi waelewe kuwa Rais ni binadamu.

Kwa kujipendekeza kwao wasijekufuru kumfananisha Rais na Mwenyezi Mungu kwa hali yoyote.

Ni ushauri tu.
mbele ya wanaccm njaa watafanya chochote mradi mkono uende kinywani
 
Unafikiri Rais huwa anataka asifiwe kwa utendaji wake? Mfano Magufuli hakuanza kusifiwa akiwa Rais Magufuli alikuwa na sifa ya uchapakazi tokea akiwa Waziri! Ukiona wengi wanaofanya hivo ni ujinga wao tu! Na kujipendekeza ili kupata cheo lakini pia huyu bwana anasema Magufuli alijifanya Mungu sidhani kama Magufuli akuwa hivo maana pia hata yeye alisema nitakufa!

Sema watu wenye ajungu na wanafiki, wezi na wapiga dili huwa hawataki kiongizi anayesimamia anachokiamini! Ukimsikiliza huyu bwana hana hoja hoja yake eti Magufuli alijifanya Mungu! Ni waulize hata mtaani kwako au hapo Dar kuna watu wanaojifanya kuabudiwa kama wahindi na mabosi huko maofisini?

Huyo jamaa ni mnafiki na utajikuta hana hata cha maana alichofanya! Sasa Samia yupo Madarakani nini cha maana kimeongezeka? Mi naona matatizo ndo mengi zaidi, umeme kukatika ovyo, kupanda kwa bidhaaa, matukio ya mauaji kuongezeka na ufisadi kuongezeka n.k!
Magufuli alijifanya Mungu!!!? Mbona alikuwa anawaambia watanzania muombeni Mungu!?
Tatizo watu wengi wnapenda kupotosha.

John 10:35

KJV
If he called them gods, unto whom the word of God came, and the scripture cannot be broken;
ESV
If he called them gods to whom the word of God came--and Scripture cannot be broken--
NLT
And you know that the Scriptures cannot be altered. So if those people who received God’s message were called ‘gods,’
 
Back
Top Bottom