Ushauri tu: Wapambe tumwepushe Rais na sifa zinazoweza kumdhuru

Ushauri tu: Wapambe tumwepushe Rais na sifa zinazoweza kumdhuru

Ndivyo walivyo wasaka vyeo miaka yote iliyopita, maana wao huwa wanaamini kwamba wakubwa wanapenda sifa kwahiyo ukitaka teuzi jitahidi kumsifu mkulu tu basi umeshamaliza kazi !!! Sifa zikianza kutolewa mpaka Mimi ninayesikiliza naona aibu sasa sijui anayesifiwa huwa anajisikiaje !! Kwa kweli hili ni tatizo kubwa !!
Wanaosifiwa huwa wanaona ni sahihi. Ndio maana huwa wanateuliwa
 
Hiyo ndio hulka ya viongozi wa ccm na wanachama wao! Wanatukuza hadi kumpa sifa mwanadamu badala ya Mungu!
Siku hizi sio Serikali tena bali Raisi!
Raisi atoa mabilioni kujenga visima!
Raisi atoa ajira mamilioni!
Raisi atoa bilioni kwa kila halmashauri
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
🤣🤣🤣
 
View attachment 2119801

Nimeona clip hii ya uchambuzi wa kitabia, ambao nimeona vema kushare.

Kimsingi waanasiasa walio karibu na rais inabidi waelewe kuwa Rais ni binadamu.

Kwa kujipendekeza kwao wasijekufuru kumfananisha Rais na Mwenyezi Mungu kwa hali yoyote.

Ni ushauri tu.
Shekhe Alhadi Mussa aliua kabisa🤣🤣🤣🤣
 
View attachment 2119801

Nimeona clip hii ya uchambuzi wa kitabia, ambao nimeona vema kushare.

Kimsingi waanasiasa walio karibu na rais inabidi waelewe kuwa Rais ni binadamu.

Kwa kujipendekeza kwao wasijekufuru kumfananisha Rais na Mwenyezi Mungu kwa hali yoyote.

Ni ushauri tu.
Ndio maana kumbe Tanzania nzima ikajaa vilio na simanzi enzi hizo
 
View attachment 2119801

Nimeona clip hii ya uchambuzi wa kitabia, ambao nimeona vema kushare.

Kimsingi waanasiasa walio karibu na rais inabidi waelewe kuwa Rais ni binadamu.

Kwa kujipendekeza kwao wasijekufuru kumfananisha Rais na Mwenyezi Mungu kwa hali yoyote.

Ni ushauri tu.
Mwenye masikio ya kusikia na asikie
 
Huo ndiyo uhuru wa maoni ña kujieleza ambao Magufuli aliupokinya. Tusipangiane cha kuongea. Umamshangaa huyo na unaacha kujishangaa wewe mwenyewe Jidu la manambasi ambaye unaponda kila kitu anachofanya Samia.

Kila mtu ashinde mechi zake
 
CCM wanacheza na udhaifu wa mtu aliye madarakani

Sio CCM tu bali ni wachumia fursa wote nchini. Certainly CCM karibia wote ni watu wa fursa. Lakini wako wanaoanzia kwenye vyama vya upinzani kisha kuunga mkono juhudi.

Fikiria, katibu mkuu wa CCM na mwenezi wake waliajiriwa directly toka nje ya chama. Hawa ni watu waliojulikana kuwa na mitazamo/misimamo tofauti kabisa na ya CCM. Lakini kwa namna isiyoeleweka wakapewa nyadhfa hizo nzito na, bila ajizi, wakaanza kuwatikisa “wahuni” wenye chama chao!
 
Nabii Mussa alipewa maagizo ama sheria kuitii katika Kutoka 20:2 - 5. ( soma kwa makini).

Sasa mtu anapokuita wewe ni Mungu na wewe unafurahia sifa hiyo aisee unakuwa umejitengenezea mgogoro wewe na Muumba wako.

Kama taifa tulifika pahala papaya sana juu ya unafiki na kujikomba.. chezea mengine yote lakini si utake kuabudiwa.

Anayeabudiwa hapa duniani ni mmoja tu.
 
Huo ndiyo uhuru wa maoni ña kujieleza ambao Magufuli aliupokinya. Tusipangiane cha kuongea. Umamshangaa huyo na unaacha kujishangaa wewe mwenyewe Jidu la manambasi ambaye unaponda kila kitu anachofanya Samia.

Kila mtu ashinde mechi zake
Mkuu mimi si mnafiki wa jino pembe.
Mama namkubali ila naonya asije ingia mkenge wa Magu.
 
Sio CCM tu bali ni wachumia fursa wote nchini. Certainly CCM karibia wote ni watu wa fursa. Lakini wako wanaoanzia kwenye vyama vya upinzani kisha kuunga mkono juhudi.

Fikiria, katibu mkuu wa CCM na mwenezi wake waliajiriwa directly toka nje ya chama. Hawa ni watu waliojulikana kuwa na mitazamo/misimamo tofauti kabisa na ya CCM. Lakini kwa namna isiyoeleweka wakapewa nyadhfa hizo nzito na, bila ajizi, wakaanza kuwatikisa “wahuni” wenye chama chao!
Kweli asee
 
Hii sauti hii.... namna ya uwasilishaji, midundo, mirindimo na maudhui lakini ufahamu na uelewa wa kile anachokiongelea kwa kujiamini ...

Inafanana na mtu anaeitwa Bashiru Ally.🤔 Yewezekana nimekosea kuotea!.
 
Vipi ikatokea na mhusika mwenyewe naye kupenda huo utukufu na sifa? Maana huu utaratibu uliasisiwa awamu ya 5 bila shaka.
Tuache chuki na JPM nyie binadanu naaza kuaamini kwamba kumbe mulimdhuru nyie na sasa mioyo yenu inatapatapa,kwa ubaya wenu.bac angekuwa anapenda kuabudiwa asingemtumbua Kangilugola
MTU ambaye alipendwa kutukuzwa kuliko marais wote ni mzee ruksa Alikuwa anaitwa mtukufu raisi wale wakongwe wanajuwa hili(mtukufu ni Mungu ila yeye alikuwa anaitwa mtufu rais)
 
Tuache chuki na JPM nyie binadanu naaza kuaamini kwamba kumbe mulimdhuru nyie na sasa mioyo yenu inatapatapa,kwa ubaya wenu.bac angekuwa anapenda kuabudiwa asingemtumbua Kangilugola
MTU ambaye alipendwa kutukuzwa kuliko marais wote ni mzee ruksa Alikuwa anaitwa mtukufu raisi wale wakongwe wanajuwa hili(mtukufu ni Mungu ila yeye alikuwa anaitwa mtufu rais)
Aliyetoa hiyo clip ame argue vizuri sana.
Kwanza Magufuli mwenyewe alisema hashauriwi na mtu yeyote(akijua he is omnipotent-anajua kila kitu)
 
Unafikiri Rais huwa anataka asifiwe kwa utendaji wake? Mfano Magufuli hakuanza kusifiwa akiwa Rais Magufuli alikuwa na sifa ya uchapakazi tokea akiwa Waziri! Ukiona wengi wanaofanya hivo ni ujinga wao tu! Na kujipendekeza ili kupata cheo lakini pia huyu bwana anasema Magufuli alijifanya Mungu sidhani kama Magufuli akuwa hivo maana pia hata yeye alisema nitakufa!

Sema watu wenye ajungu na wanafiki, wezi na wapiga dili huwa hawataki kiongizi anayesimamia anachokiamini! Ukimsikiliza huyu bwana hana hoja hoja yake eti Magufuli alijifanya Mungu! Ni waulize hata mtaani kwako au hapo Dar kuna watu wanaojifanya kuabudiwa kama wahindi na mabosi huko maofisini?

Huyo jamaa ni mnafiki na utajikuta hana hata cha maana alichofanya! Sasa Samia yupo Madarakani nini cha maana kimeongezeka? Mi naona matatizo ndo mengi zaidi, umeme kukatika ovyo, kupanda kwa bidhaaa, matukio ya mauaji kuongezeka na ufisadi kuongezeka n.k!
Wewe inaonyesha si mkristo wala muislamu kwa kuwa unapingana na maandiko ya Mungu.Sio lazima awe Rais binadamu yeyote atakayekidhamini na kukitukuza kitu au mtu; kuliko Mungu ni
Muabudu sanamu
 
Back
Top Bottom