Wanaosifiwa huwa wanaona ni sahihi. Ndio maana huwa wanateuliwaNdivyo walivyo wasaka vyeo miaka yote iliyopita, maana wao huwa wanaamini kwamba wakubwa wanapenda sifa kwahiyo ukitaka teuzi jitahidi kumsifu mkulu tu basi umeshamaliza kazi !!! Sifa zikianza kutolewa mpaka Mimi ninayesikiliza naona aibu sasa sijui anayesifiwa huwa anajisikiaje !! Kwa kweli hili ni tatizo kubwa !!
🤣🤣🤣Hiyo ndio hulka ya viongozi wa ccm na wanachama wao! Wanatukuza hadi kumpa sifa mwanadamu badala ya Mungu!
Siku hizi sio Serikali tena bali Raisi!
Raisi atoa mabilioni kujenga visima!
Raisi atoa ajira mamilioni!
Raisi atoa bilioni kwa kila halmashauri
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Shekhe Alhadi Mussa aliua kabisa🤣🤣🤣🤣View attachment 2119801
Nimeona clip hii ya uchambuzi wa kitabia, ambao nimeona vema kushare.
Kimsingi waanasiasa walio karibu na rais inabidi waelewe kuwa Rais ni binadamu.
Kwa kujipendekeza kwao wasijekufuru kumfananisha Rais na Mwenyezi Mungu kwa hali yoyote.
Ni ushauri tu.
Ndio maana kumbe Tanzania nzima ikajaa vilio na simanzi enzi hizoView attachment 2119801
Nimeona clip hii ya uchambuzi wa kitabia, ambao nimeona vema kushare.
Kimsingi waanasiasa walio karibu na rais inabidi waelewe kuwa Rais ni binadamu.
Kwa kujipendekeza kwao wasijekufuru kumfananisha Rais na Mwenyezi Mungu kwa hali yoyote.
Ni ushauri tu.
Unafiki ni shida sana.Shekhe Alhadi Mussa aliua kabisa🤣🤣🤣🤣
Umetoneshwa mzee!Huyu naye mjinga tu! Unaunganisha unganisha maneno tu! Majungu tu ndo unafanyia kazi!
Mwenye masikio ya kusikia na asikieView attachment 2119801
Nimeona clip hii ya uchambuzi wa kitabia, ambao nimeona vema kushare.
Kimsingi waanasiasa walio karibu na rais inabidi waelewe kuwa Rais ni binadamu.
Kwa kujipendekeza kwao wasijekufuru kumfananisha Rais na Mwenyezi Mungu kwa hali yoyote.
Ni ushauri tu.
CCM wanacheza na udhaifu wa mtu aliye madarakani
Mkuu mimi si mnafiki wa jino pembe.Huo ndiyo uhuru wa maoni ña kujieleza ambao Magufuli aliupokinya. Tusipangiane cha kuongea. Umamshangaa huyo na unaacha kujishangaa wewe mwenyewe Jidu la manambasi ambaye unaponda kila kitu anachofanya Samia.
Kila mtu ashinde mechi zake
Duh!Wanaosifiwa huwa wanaona ni sahihi. Ndio maana huwa wanateuliwa
Kweli aseeSio CCM tu bali ni wachumia fursa wote nchini. Certainly CCM karibia wote ni watu wa fursa. Lakini wako wanaoanzia kwenye vyama vya upinzani kisha kuunga mkono juhudi.
Fikiria, katibu mkuu wa CCM na mwenezi wake waliajiriwa directly toka nje ya chama. Hawa ni watu waliojulikana kuwa na mitazamo/misimamo tofauti kabisa na ya CCM. Lakini kwa namna isiyoeleweka wakapewa nyadhfa hizo nzito na, bila ajizi, wakaanza kuwatikisa “wahuni” wenye chama chao!
Tuache chuki na JPM nyie binadanu naaza kuaamini kwamba kumbe mulimdhuru nyie na sasa mioyo yenu inatapatapa,kwa ubaya wenu.bac angekuwa anapenda kuabudiwa asingemtumbua KangilugolaVipi ikatokea na mhusika mwenyewe naye kupenda huo utukufu na sifa? Maana huu utaratibu uliasisiwa awamu ya 5 bila shaka.
Aliyetoa hiyo clip ame argue vizuri sana.Tuache chuki na JPM nyie binadanu naaza kuaamini kwamba kumbe mulimdhuru nyie na sasa mioyo yenu inatapatapa,kwa ubaya wenu.bac angekuwa anapenda kuabudiwa asingemtumbua Kangilugola
MTU ambaye alipendwa kutukuzwa kuliko marais wote ni mzee ruksa Alikuwa anaitwa mtukufu raisi wale wakongwe wanajuwa hili(mtukufu ni Mungu ila yeye alikuwa anaitwa mtufu rais)
Haya maneno si ya mtu mjinga.Mungu huchukia sanamu; yaani kitu alichokiumba kuabudiwa kuliko yeyeHuyu naye mjinga tu! Unaunganisha unganisha maneno tu! Majungu tu ndo unafanyia kazi!
Wewe inaonyesha si mkristo wala muislamu kwa kuwa unapingana na maandiko ya Mungu.Sio lazima awe Rais binadamu yeyote atakayekidhamini na kukitukuza kitu au mtu; kuliko Mungu niUnafikiri Rais huwa anataka asifiwe kwa utendaji wake? Mfano Magufuli hakuanza kusifiwa akiwa Rais Magufuli alikuwa na sifa ya uchapakazi tokea akiwa Waziri! Ukiona wengi wanaofanya hivo ni ujinga wao tu! Na kujipendekeza ili kupata cheo lakini pia huyu bwana anasema Magufuli alijifanya Mungu sidhani kama Magufuli akuwa hivo maana pia hata yeye alisema nitakufa!
Sema watu wenye ajungu na wanafiki, wezi na wapiga dili huwa hawataki kiongizi anayesimamia anachokiamini! Ukimsikiliza huyu bwana hana hoja hoja yake eti Magufuli alijifanya Mungu! Ni waulize hata mtaani kwako au hapo Dar kuna watu wanaojifanya kuabudiwa kama wahindi na mabosi huko maofisini?
Huyo jamaa ni mnafiki na utajikuta hana hata cha maana alichofanya! Sasa Samia yupo Madarakani nini cha maana kimeongezeka? Mi naona matatizo ndo mengi zaidi, umeme kukatika ovyo, kupanda kwa bidhaaa, matukio ya mauaji kuongezeka na ufisadi kuongezeka n.k!