Ndani ya hii miaka mitano mambo mengi mno yamebadilika - kibaya zaidi hata waandishi wa habari na wamiliki wa vyombo vya habari nao wameingia na uwoga.
Huwezi kujenga uchumi wa Taifa huru kama Raia ni waoga, Waandishi wa habari ni waoga, Watumishi wa umma ni waoga - Taifa la watu waoga.
Sidhani kuna kituo cha TV kitakachoonyesha Live mkutanowa Lissu !! hakipo kwa sasa.