Ushauri, uanzishaji wa kiwanda cha kisasa cha fanicha

Ni biashara nzuri ingawa manunuzi yake ni taratibu
Lakini jaribu kuwa na wazo tofauti katika fani hii ya furniture pia unaweza ukanunua antiques, nikuwekee picha ambazo huenda ukapendelea kuwa nazo hizo kwenye store kama utapata wabunifu wazuri

Nashukuru sana, na watu kama ninyi nawahitaji sana ktk ushauri. Mnanipa faraja sana.
 
Mkuu Ngonyani vipi maendeleo ya biashara?
 
Binafsi naongezea.

Angalia makampuni mengine ya furniture duniani yanafanya nini. Angalia bidhaa zao jinsi zilivyo simple na creative. Na wewe fanya hivyo.

Pia, nakushauri ukiweza uzalishe hata furniture zenye frames za chuma au plastic. Usi-base sana kwenye mbao tu.

Na kuongezea unaweza ukawa na mafundi special kwa ajili ya kudesign furniture finishing za nyumba. mf, kujengea makabati ya jikoni, sebuleni au vyumbani..

Na kwenye kujitangaza unaweza kuwatengenezea masuper star furniture bora kwa bei ya discount ila kwa masharti wafanya advertising kwenye page zao za social network.
 
Angalizo: hakikisha unakuwa na quality finishing. JKT wanatengeneza furnitures lakini finishing bab kubwa.

kuhusu masoko, jitangaze tu. Weka fb, instagram, jf etc. Weka mapicha kibao. Utatoka tu, kila la kheri
Poa mkuu ukihitaji ushauri zaidi ni PM niko mjasiria mali kwa miaka mingi na nna different lines za business with enough experience.
Wazo zuri sana, ushauri ni kwamba jaribu kuwa creative na kuwa na new ideas katika kuunda furnitures, utapata soko, cha msingi uwe na tools and machine za kileo, jengine mbao hakikisha ziwe kavu. Kwa mfano nimegundua na fanya uchunguzi mwenyewe, unakuta kitanda kizuri or mlango baada ya muda mfupi mlango unawacha gaps na kupinda, or kitanda vile vile.

Jengine jinsi ya kuupinda ubao, aisee nimeona utaalamu wa kupinda ubao katika discovery channel, how it's made program. Wanatumia stim kupinda ubao, maji ya moto makali yenye kutoa stim na ubao kuwekwa juu, baada ya ubao kupata uvuke mkali unakuwa kama plastic unbelievable, na unaupinda inavyo taka, sijawahi kuona utaalamu kama huo Tanzania labda kwa kutumia moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…