Wakuu salaam
Nafikilia kuanza kufuga punda kwa ajili ya kilimo kubebea mizigo miepesi niendapo shamba na kurudisha baadhi ya mazao nyumbani.
Kuna mtu aliniambia kuwa ni maliasili kwaiyo mamlaka husika lazima ikupe kibali cha ufugaji ni kweli? Maana Wamasai wengi wanamiliki kiholela tu hawasumbuliwi.
Pia nataka nikiwanunua niwasafilishe umbali kama mikoa 3,
Kwa anaefahamu utaratibu wakumiliki punda anifahamishe tafadhali...
Hapana sio pundamilia namaanisha punda wakawaida tunaoishi nao kuna mtu nilimuulizia akanipa vitisho kuwa na maliasiliPunda wa kawaida siyo nyara wala maliasili. Au una maanosha Pundamilia? Utaratibu wake ni kama unavyofuga ng’ombe tuuu
—————
Bavuvi
Wakuu salaam
Nafikilia kuanza kufuga punda kwa ajili ya kilimo kubebea mizigo miepesi niendapo shamba na kurudisha baadhi ya mazao nyumbani.
Kuna mtu aliniambia kuwa ni maliasili kwaiyo mamlaka husika lazima ikupe kibali cha ufugaji ni kweli? Maana Wamasai wengi wanamiliki kiholela tu hawasumbuliwi.
Pia nataka nikiwanunua niwasafilishe umbali kama mikoa 3,
Kwa anaefahamu utaratibu wakumiliki punda anifahamishe tafadhali...
Mkuu wazo lako ni zuri sana,Wakuu salaam
Nafikilia kuanza kufuga punda kwa ajili ya kilimo kubebea mizigo miepesi niendapo shamba na kurudisha baadhi ya mazao nyumbani.
Kuna mtu aliniambia kuwa ni maliasili kwaiyo mamlaka husika lazima ikupe kibali cha ufugaji ni kweli? Maana Wamasai wengi wanamiliki kiholela tu hawasumbuliwi.
Pia nataka nikiwanunua niwasafilishe umbali kama mikoa 3,
Kwa anaefahamu utaratibu wakumiliki punda anifahamishe tafadhali...
Sio kosa kusafirisha,ila kuna taratibu za kusafirisha wanayama kutok eneo moja kwenda lingine.Mkuu wazo lako ni zuri sana,
Tatizo wabongo wengi akili zetu ni kama vile zimefungwa kamba, halafu mbaya zaidi ni kupenda kuigana igana na kukatishana tamaa.
Wengi wetu wanafuga punda kwa ajili ya matumizi yao tu ya nyumbani hua hawafikirii kuwafuga na kuwazalisha kibiashara.
Kuna kipindi soko la punda lilikua ni kubwa sana hapa nchini mpaka ikafikia kua ni tishio la kuweza kupotea kabisa punda katika nchi yetu, hii ni baada ya wachina kuwanunua na kusafirisha nyama ya punda nchini kwao.
Serikali kwa kipindi hicho ilipiga marufuku biashara ya kuuza nyama ya punda ila kwa sasa sina uhakika kama marufuku hio bado inaendelea.
Kuhusu kuwasafirisha pia sina uhakika kama ni kosa au la.
Jitahidi kuulizia kwenye ngazi tofauti za serikali ili kujiridhisha kabla ya kufanya maamuzi.
Bei ya kununua punda 1 ikoje?Sio kosa kusafirisha,ila kuna taratibu za kusafirisha wanayama kutok eneo moja kwenda lingine.
Aongee na afisa/bwana mifugo wa eneo lake ampe utaratibu wa usharishaji.
Aliekwambia ni nyara AlikutapeliWakuu salaam
Nafikilia kuanza kufuga punda kwa ajili ya kilimo kubebea mizigo miepesi niendapo shamba na kurudisha baadhi ya mazao nyumbani.
Kuna mtu aliniambia kuwa ni maliasili kwaiyo mamlaka husika lazima ikupe kibali cha ufugaji ni kweli? Maana Wamasai wengi wanamiliki kiholela tu hawasumbuliwi.
Pia nataka nikiwanunua niwasafilishe umbali kama mikoa 3,
Kwa anaefahamu utaratibu wakumiliki punda anifahamishe tafadhali...