Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,562
- 3,715
Wakuu salaam
Nafikilia kuanza kufuga punda kwa ajili ya kilimo kubebea mizigo miepesi niendapo shamba na kurudisha baadhi ya mazao nyumbani.
Kuna mtu aliniambia kuwa ni maliasili kwaiyo mamlaka husika lazima ikupe kibali cha ufugaji ni kweli? Maana Wamasai wengi wanamiliki kiholela tu hawasumbuliwi.
Pia nataka nikiwanunua niwasafilishe umbali kama mikoa 3,
Kwa anaefahamu utaratibu wakumiliki punda anifahamishe tafadhali...
Nafikilia kuanza kufuga punda kwa ajili ya kilimo kubebea mizigo miepesi niendapo shamba na kurudisha baadhi ya mazao nyumbani.
Kuna mtu aliniambia kuwa ni maliasili kwaiyo mamlaka husika lazima ikupe kibali cha ufugaji ni kweli? Maana Wamasai wengi wanamiliki kiholela tu hawasumbuliwi.
Pia nataka nikiwanunua niwasafilishe umbali kama mikoa 3,
Kwa anaefahamu utaratibu wakumiliki punda anifahamishe tafadhali...