Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Habarini wakuu.
Nimepambana nimepata mahali 2 mil. Nataka niwekeze walau niwe napata chochote. Naishi Moshi Mjini.
Kuhusu kilimo hapana!
Naombeni ushauri mapema wakuu maana hela haikai na matatizo nayo ni mengi sana.
Wasalaam!
Nimepambana nimepata mahali 2 mil. Nataka niwekeze walau niwe napata chochote. Naishi Moshi Mjini.
Kuhusu kilimo hapana!
Naombeni ushauri mapema wakuu maana hela haikai na matatizo nayo ni mengi sana.
Wasalaam!