USHAURI : Ukiacha kilimo, naweza kuwekeza kwenye nini kwa hii 2 Mil ?

USHAURI : Ukiacha kilimo, naweza kuwekeza kwenye nini kwa hii 2 Mil ?

wazee wa kubet forex... mna maneno sanaaaaaaa na kutonyeshaga balance fake...

cha ajabu anayekuonesha balance inasoma GBP 3800 kesho anakupiga kizinga hadi unajiuliza ww sijana umenionyesha balance yako ya forex inasoma GBP 3800
Unadhani wanadanganya ili wapate faida gani??
 
Nunua boda boda komaa mwenyewe faida ipo
 
Mku kutafuta pesa ni kazi ila kuilinda isiponyoke ni kazi zaidi. Tuliza kichwa , weka hiyo pesa bank huku ukiendelea kupamba na pia wewe uliitafuta kwa lengo gani rudi kwenye wazo lako .
 
Back
Top Bottom