Ushauri: Ukweli umeshaanza kujulikana, ni vizuri tupunguze malumbano

Ushauri: Ukweli umeshaanza kujulikana, ni vizuri tupunguze malumbano

tulitee credible data kutoka kwa TNBS au WB inayoonesha unemployment rate yenu ni 1.5%....hii ata uwe mjinga aje huezi amini. Tanzania basi itakua nchi inayoongoza duniani kwa lowest unemployment rate
Wewe ndio kichaa, kama ukiamini kwamba unemployment Kenya ni 7.2%, wakati USA ni kati ya 8 hadi 10% hiyo unakubali?
 
Chizi wewe, lete zilezile graph za World Bank, otherwise tutakuletea Gazeti la Financial Times linalisema Kenya unemployment rate is 38%
What is Financial times? Where did they get their data? Just because credible sources are not favoring you then don`t act like a goat. You asked for evidence form KNBS and I gave you, after umeona kuwa KNBS imekuaibisha ukatisha data za World and I also gave WB data. So you want to bring Wikipedia here just to satisfy your stupidity. No wonder you were ranked low IQ individuals.
 
Hehehe kutumia asilimia moja ya akili kufikiria ni kitu mbaya sana[emoji23][emoji23][emoji23] So you don`t believe your government?
Unaleta data kumbe unajikaanga na mafuta yako mwenyewe unachambuliwa unaanza kuleta source nyingine, Wakenya ni wajinga sana wallahi, umebaki kubwata bwata humu na msemo wa low IQ mliyokariri, ss hapo nani ana low IQ kati yetu na nyie?

Kwenu kila siku mna njaa, mnaiba mpk pesa ya dawa, mnasumbuliwa na magonjwa ya aibu km kipindupindu, mnaiba mpk ajira maamaeee so who is low IQ minded btn u and us?
 
Hehehe kutumia asilimia moja ya akili kufikiria ni kitu mbaya sana[emoji23][emoji23][emoji23] So you don`t believe your government?
Tatizo lenu hamna uwezo wa kufikiria, huwezi kutumia source mbili tofauti kulinganisha, kama umetumia WB ni lazima utumie source hiyo na ripoti iliyotoka kipindi hicho hicho.

Huwa WB ikitoa ripoti yake, inatoa ya nchi zote kwa mfumo mmoja, kama imetumia graphs, basi ni nchi zote, kama ni "bars" basi ni nchi zote, wacha kuchanganya files.

Graphs zinaonyesha Tanzania ni 1.9%, Kenya ni 7.2%[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaleta data kumbe unajikaanga na mafuta yako mwenyewe unachambuliwa unaanza kuleta source nyingine, Wakenya ni wajinga sana wallahi, umebaki kubwata bwata humu na msemo wa low IQ mliyokariri, ss hapo nani ana low IQ kati yetu na nyie?

Kwenu kila siku mna njaa, mnaiba mpk pesa ya dawa, mnasumbuliwa na magonjwa ya aibu km kipindupindu, mnaiba mpk ajira maamaeee so who is low IQ minded btn u and us?
Tanzanians are known worldwide as people with low IQ even your government recognizes that.
2504222_IMG_20200901_023949_876.jpg
 
What is Financial times? Where did they get their data? Just because credible sources are not favoring you then don`t act like a goat. You asked for evidence form KNBS and I gave you, after umeona kuwa KNBS imekuaibisha ukatisha data za World and I also gave WB data. So you want to bring Wikipedia here just to satisfy your stupidity. No wonder you were ranked low IQ individuals.
I have said if we have to believe the WB data which says Kenya unemployment rate is 7.2%, the same WB reports says Tanzania is 1.9%.

Mimi sijapinga kitu, nimekubaliana na hii ripito ya WB yenye graph. Wewe ndio unaleta ripoti tofauti na ile yenye graph ili kupindisha ukweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo lenu hamna uwezo wa kufikiria, huwezi kutumia source mbili tofauti kulinganisha, kama umetumia WB ni lazima utumie source hiyo na ripoti iliyotoka kipindi hicho hicho.

Huwa WB ikitoa ripoti yake, inatoa ya nchi zote kwa mfumo mmoja, kama imetumia graphs, basi ni nchi zote, kama ni "bars" basi ni nchi zote, wacha kuchanganya files.

Graphs zinaonyesha Tanzania ni 1.9%, Kenya ni 7.2%[emoji23][emoji23][emoji23]
My friend I gave you a link, why can`t you check that link and get all the answers you need. Why are you so lazy ama you are suffering low IQ disease? KNBS data showed that our unemployment rate before covid was below 5% while TNBS showed that your unemployment rate in 2019 was 9.6%. Ukipenda uamini ukipenda uache.
 
I have said if we have to believe the WB data which says Kenya unemployment rate is 7.2%, the same WB reports says Tanzania is 1.9%.

Mimi sijapinga kitu, nimekubaliana na hii ripito ya WB yenye graph. Wewe ndio unaleta ripoti tofauti na ile yenye graph ili kupindisha ukweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Show us where World Bank is saying that your unemployment is 1%. Show me I want to see it. Na ukinionyesha natoka jf for ggod.
 
Wewe ndio kichaa, kama ukiamini kwamba unemployment Kenya ni 7.2%, wakati USA ni kati ya 8 hadi 10% hiyo unakubali?
USA unemployment haijawai chezea more than 3% maybe wakati huu wa corona inaeza fika hio 8% the same way wakati huu wa corona kenya unemployment rate logically pia imepanda
 
We dada ukishindwa huwa unatafuta pa kutokea, nenda uwaoneshe Wakenya wenzio huo ujinga uone reactions utapata [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wakenya wote wanajua kuwa watanzania hawatumiangi akili, so why should I remind them what they know?
 
My friend I gave you a link, why can`t you check that link and get all the answers you need. Why are you so lazy ama you are suffering low IQ disease? KNBS data showed that our unemployment rate before covid was below 5% while TNBS showed that your unemployment rate in 2019 was 9.6%. Ukipenda uamini ukipenda uache.
Unless you are a stupid. is your head full of stupidity?. We are not finished with WB reports with those graphs which shows Kenya unemployment is 7.2%, why are you jumping to KNBS and TNBS?. stop your stupidity, first lets finish with WB report with those graph, then we can switch to othet sources, punguza ujinga kidogo.
 
Unless you are a stupid. is your head full of stupidity?. We are not finished with WB reports with those graphs which shows Kenya unemployment is 7.2%, why are you jumping to KNBS and TNBS?. stop your stupidity, first lets finish with WB report with those graph, then we can switch to othet sources, punguza ujinga kidogo.
I want you to answer my question, where do world bank get their figures? Ukishajua hiyo ujijibu.
 
USA unemployment haijawai chezea more than 3% maybe wakati huu wa corona inaeza fika hio 8% the same way wakati huu wa corona kenya unemployment rate logically pia imepanda
Keahiyo imepanda USA wakati huu wa Corona hadi kuizidi Kenya?,
 
I want you to answer my question, where do world bank get their figures? Ukishajua hiyo ujijibu.
Wacha ujinga, Wewe ndio umesema tukubaliane na data za WB, mimi ndio nilipinga zile graph, wewe ukasisitiza lazima tuzikubali kwasababu ndivyo WB wanavyotoa report zao. Mimi nimezikubali, ulipogundua graph hizo zinaiweka Tanzania mbele ya Kenya, unajaribu kuzikwepa na kukimbilia za kwenu.

Sasa Mubarak's Kwanza uzipinge data za WB hadharani ndio tuzungumzie source zingine, sema kwamba zile graphs za WB haziaminiki tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wacha ujinga, Wewe ndio umesema tukubaliane na data za WB, mimi ndio nilipinga zile graph, wewe ukasisitiza lazima tuzikubali kwasababu ndivyo WB wanavyotoa report zao. Mimi nimezikubali, ulipogundua graph hizo zinaiweka Tanzania mbele ya Kenya, unajaribu kuzikwepa na kukimbilia za kwenu.

Sasa Mubarak's Kwanza uzipinge data za WB hadharani ndio tuzungumzie source zingine, sema kwamba zile graphs za WB haziaminiki tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Graphs za WB zinaeka Kenya at 7%. Do you have anything else to ask?
 
Back
Top Bottom