The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Hahahaaa ni demu uyo mkuu ila huwa hapendi kuonekana ni demu nadhani atakuwa ni lesbian but komora ni demu mkuu.Aisee hawa madem wa kenya wanatuchanganya mwamba,nmetengua kauli[emoji16][emoji16]
Ivi vicheko mi kama mwanaume mwenzako,nakushauri muachie mkeo,ipo siku watakunaniiii
Hamjui lolote kunihusu, kwhyo hata hainishtui...mkitaka pia semeni mimi sina jinsiaHuyo ni demu mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna Wakenya wawili humu huwa hawapendi kuonekana ni mademu mmojawapo ni huyu komora na mwingine ni Teargass.Aisee hawa madem wa kenya wanatuchanganya mwamba,nmetengua kauli[emoji16][emoji16]
Uzuri wa jf ,kila mtu apo huru kubwata hta km ni upupuHahahaaa ni demu uyo mkuu ila huwa hapendi kuonekana ni demu nadhani atakuwa ni lesbian but komora ni demu mkuu.
sema tu hauna bundles hahahahah 🤣 🤣 🤣 🤣kalb wahedBahati mbaya inakataa kufunguka, hata hivyo hii sio ripoti
Sababu ni moja tu ya msingi. Kenya wana bandari moja tu ambayo mizigo yote inapita, tanzania tuna bandari kubwa 4. tukikusanya mizigo yote tukapitisha dar es salaam haitashikika Africa nzimaNi wazi kwamba kwa muda mrefu tumekua tukilinganisha na kutunishiana misuli kati ya Kenya na Tanzania kwa kulinganisha maeneo mbalimbali ya kimaendeleo, kisiasa, kijamii na kimichezo.
Sasa hivi kila mmoja wetu hapa JF na nje ya JF raia wa hizi nchi mbili anayefuatilia kwa makini yanayotokea, tayari amepata jibu la huu mnyukano unavyoelekea, na hali ilivyo kati ya Kenya na Tanzania.
Binadamu tumeumbwa na mapungufu mengi, hasa sisi waafrika tumeumbwa na mapungufu ya kutokubali kushindwa na kukiri hadharani, ndio sababu ukiachana na Nigeria, Ghana na South Africa, Hakuna nchi ambako walioshindwa kiti cha urais wamekiri na kuwapongeza walioshinda, japo baadae wanakiri kwamba kweli walishindwa.
Ombi langu kwa sasa, ni vizuri kupunguza malumbano ya kulinganisha kwa lengo la kishabiki ili kuonekana upande mmoja ni bora kuliko upande mwingine, badala yake kujaribu kuonyesha yale ambayo tunahisi upande wa pili unafanya vizuri ili upande mwingine uweze kujifunza.
Mimi binafsi ningependa sana kujua na kujifunza kwanini bandari ya Mombasa inapata na kupokea mizigo mingi kuliko bandari ya Dar es salaam wakati bandari ya Dar es Salaam inahudumia nchi nyingi kuliko Mombasa?
Karibuni wadau kuchangia?
Hulioni la mjinga mwenzenu huyo The best 007/...nyani haoni kundule,Ivi vicheko mi kama mwanaume mwenzako,nakushauri muachie mkeo,ipo siku watakunaniiii
Wapi lights hapo kwa berths?Nani amekuambia Lapsset haijaunganishwa na stima? Ndio maana nimekuambia wewe ni mjinga.
Mnahangaika wakati jibu ni simple Sana,Uchumi wa Kenya ni mkubwa kuliko nchi zote za EAC combined na pia Kenya ina trade volume kubwa na nchi zote za EAC na ina export manufactured goods ndio kusema Kenya ni manufacturing hub ya EAC maana kampuni nyingi zinaweka HQ zao Kenya ili kupenya Masoko ya EAC kwa maana hiyo Ina make sense kwa Kenya ku import vipuri vya viwandani na Ku export kwenye Masoko Kama Agoa nk nkNdio tunataka kujua ni mizigo gani mingi ambayo Kenya inaagiza kiasi cha kutuzidi sisi wenye nchi kubwa na watu wengi ukiacha Chakula ambacho sisi hatuagizi toka nje?, je ni malighafi kwa ajili ya viwanda?
Mnahangaika kupata jibu wakati liko wazi,check gdp figures na intra trade volumes za nchi ambazo zinapitisha mizigo bandari ya Dar utapata jibu.Bado haijibu swali la kwanini Mombasa iwe na cargo kubwa kuliko Dar. Kumbuka ni bandari ya Dar tu ndio inayotumika kupitisha mizigo ya hizo nchi za nje, Tanga zaidi ni kupitishia mafuta na bandari ya Mtwara sasa hivi ndio imeanza kutumika kusafirishia korosho na Sementi ya Dangote.
Sababu inayoweza kuleta maana ni hiyo ya kwamba meli kubwa zilikua hazifiki Dar, zinashusha mizigo ya Tanzania hapo Mombasa ndio meli ndogo ndogo zinachukua na kuleta Dar.
Wengi wa hao ni viazi,we wauluze sgr ya Tzn imeendana na deadline? Kipande Cha km 200 Bado kinahangaisha nchiJamaa ni mpuuzi sana. Ameniudhi. Eti anasema Lamu imechukua miaka minane kwa hivyo anaipuuzilia mbali. Ni kawaida miradi mikubwa kama hii kuchukua miaka nyingi hata kupita deadline. Hata ule mradi mkubwa wa dam wa Ethiopia imechelewa kwa sababu ilizinduliwa mwaka wa 2011. Pia Dangote refinery ambayo itakuwa biggest refinery in Africa pia imechelewa. Anadhani kujenga miradi mikubwa ni kama kujenga choo kitongojini kwao
Wale jamaa fulani watakuja kupinga,watakwambia mbona Kenya iliwapigia magoti wakati wao wamejenga viwanda vya cherehani zaidi ya 5000 😆😆😆😆😆Hilo mbona ni jibu rahisi sana, kwanza utakuwa hujafika Kenya ndiyo maana unauliza kama ungekuwa umefika Kenya ukaangalia viwanda walivyo navyo ndiyo ungepata jibu haraka tu. Kiufupi ni kwamba kati ya shehena yote inayoingi Kenya ni asilimia ndogo sana inapita kwenye nchi Jirani hasa Uganda ambayo haizidi 24% shehena iliyobaki yote inatumiwa ndani ya Kenya. Unajiuliza kwanini jibu ni kwamba Kenya inavyo viwanda vingi sana vya ndani ya nchi ndiyo sababu.
Kwa takwimu shehena inayoingizwa Kenya kupitia mombasa ni mara mbili ya shehena inayoingizwa tanzania kupitia Dar es Salaam unaweza kusema basi kwavile tanzania kuna Bandari zingine za tanga na mtwara Hiyo siyo sababu kwakuwa shehena inayoingizwa Bandari ya Dar es Salaam peke yake ni 95% ya shehena yote inayoingizwa nchini.
Hivyo kwa kifupi Kenya Uchumi wao ni mkubwa hata ukiangalia bajeti yao ya mwaka na ya tanzania bajeti yao ni kubwa japo sisi population yetu kubwa kuliko wao. Kama isingekuwa ufisadi Kenya ilitakiwa kuwa mbali sana kimaendeleo kulingana na viwanda ilivyonanvyo.
Hata maboresho yafanyike vipi hizo takwimu haziwezi badilika unajua kwa Nini? Jibu ni hilo hapo juu kwamba zaidi ya nusu ya mzigo unaishia ndani,kwa hiyo ishu ni uchumi wa ndani uimarike na hao majirani wakuze uchumi wao tofauti na hapo hakuna kitakachobadilika kuwe na sgr au hapana.Wewe ndio umeongea vizuri, kuna sehemu niliona kenya, wao wenyewe walisema zaidi ya nusu ya mizigo inayosafirishwa kutoka mombasa huishia Nairobi.
Kenya wana malls nyingi kuliko sisi na vitu vingi kwenye malls huwa imported.
Kuna meli zingine kubwa zikilikuwa haziwezi kutia nanga bandari ya dar, so zilikuwa zinaenda mombasa.
Bado kuna watu wa Arusha hupendelea mombasa zaidi.
Ukiachana na uganda, Rwanda bado kwa asilimia kubwa wanatumia mombasa.
Vitu vilivyodumaza dar ilikuwa ni huduma mbovu, rushwa, wizi na udogo wa bandari.
Hakuna mwandiko wa kiume au wa kike. Wacha taasubi za kiumeKuna Wakenya wawili humu huwa hawapendi kuonekana ni mademu mmojawapo ni huyu komora na mwingine ni Teargass.
Ila tuliwagundua miandiko yao ya kike [emoji3][emoji3]
Tatizo lako wewe unatumia hisia pekee bila kuwa na data za kuthibitisha, miaka yote bandari kubwa duniani ilikua ni Rotterdam in Netherlands, nchi ambayo haipo katika Top ten ya nchi zenye uchumi mkubwa duniani, sasa hivi bandari kubwa zaidi ipo China sio Marekani ambayo ina uchumi mkubwa. Jaribu kufikiria kwanza sio lazima uzungumze kitu kama huna uhakika. Uchumi mkubwa hautoshi kuwa ndio sababu. Africa nchi yenye uchumi mkubwa ni Nigeria, lakini bandari kubwa ipo South Africa.Hata maboresho yafanyike vipi hizo takwimu haziwezi badilika unajua kwa Nini? Jibu ni hilo hapo juu kwamba zaidi ya nusu ya mzigo unaishia ndani,kwa hiyo ishu ni uchumi wa ndani uimarike na hao majirani wakuze uchumi wao tofauti na hapo hakuna kitakachobadilika kuwe na sgr au hapana.
Pia asichojua ni kwamba unaweza kuwa na uchumi mkubwa na bado ukawa na nchi yenye maskini wengi wenye kipato cha chini mno mfano aangalie Ethiopia, btw huyo ni mjinga tu asikusumbue ni technician huyo aliyetumbuliwa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tatizo lako wewe unatumia hisia pekee bila kuwa na data za kuthibitisha, miaka yote bandari kubwa duniani ilikua ni Rotterdam in Netherlands, nchi ambayo haipo katika Top ten ya nchi zenye uchumi mkubwa duniani, sasa hivi bandari kubwa zaidi ipo China sio Marekani ambayo ina uchumi mkubwa. Jaribu kufikiria kwanza sio lazima uzungumze kitu kama huna uhakika. Uchumi mkubwa hautoshi kuwa ndio sababu. Africa nchi yenye uchumi mkubwa ni Nigeria, lakini bandari kubwa ipo South Africa.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Lamu ni white elephant, Ethiopia ana commitment ya kutumia port za Djibouti ili waweze kulipa deni la mchina pia mahusiano ya Ethiopia na Somali yapo vizuri sana kwa sasa.Jamaa ni mpuuzi sana. Ameniudhi. Eti anasema Lamu imechukua miaka minane kwa hivyo anaipuuzilia mbali. Ni kawaida miradi mikubwa kama hii kuchukua miaka nyingi hata kupita deadline. Hata ule mradi mkubwa wa dam wa Ethiopia imechelewa kwa sababu ilizinduliwa mwaka wa 2011. Pia Dangote refinery ambayo itakuwa biggest refinery in Africa pia imechelewa. Anadhani kujenga miradi mikubwa ni kama kujenga choo kitongojini kwao
Nani amekuambia Lamu ni ya Ethiopia tu? Wewe ni wazimu. Hakuna jinsi Kenya nchi kubwa itakuwa na port moja milele. Lazima tuwe angalau na port mbili. Hatuwezi kujiita superpower wa Afrika Mashariki ilhali tuna port moja tu. Hio ni aibu na lazima tuendelee kujenga zingineLamu ni white elephant, Ethiopia ana commitment ya kutumia port za Djibouti ili waweze kulipa deni la mchina pia mahusiano ya Ethiopia na Somali yapo vizuri sana kwa sasa.
Tony mbona unapinga vitu vya wazi Karisa?, LAPSSET maana yake ni Ethiopia, South Sudan na Lamu Port, kwahiyo huu mradi umezilenga hizo nchi mbili, haukuilenga nchi ya Kenya hata kidogo, Hakuna bandari yoyote kubwa hapa duniani inayoanzishwa kwa sababu ya domestic uses. Bila Ethiopia na South Sudan, Lamu Port inapoteza uhalali na umuhimu wake.Nani amekuambia Lamu ni ya Ethiopia tu? Wewe ni wazimu. Hakuna jinsi Kenya nchi kubwa itakuwa na port moja milele. Lazima tuwe angalau na port mbili. Hatuwezi kujiita superpower wa Afrika Mashariki ilhali tuna port moja tu. Hio ni aibu na lazima tuendelee kujenga zingine
Sijui kati ya mimi na wewe nani anafahamu mradi wa lapsset kushinda mwingine. Obviously mradi wa lapsset inalenga Kenya kwanza kabla ya kulenga hizo nchi zingine. Halafu nyinyi Watanzania mlikuwa mnataka mradi huu usitishwe lakini serikali ya Kenya imeamua kutumia pesa yake kuijenga na sasa mradi unaisha. Wivu wenu haitazuia mradi kujengwa. Nimeshasema, Mombasa port inahitaji msaidizi. Mombasa port inahandle cargo nyingi kushinda port zote za Tanzania kwa hivyo ni ujinga mtupu kusema eti Lamu port haitapata cargo. Hio backlog ya Mombasa port itapungua Lamu port itakapoanza kazi. Turnaround ya Mombasa port itaimprove na Waganda watawacha kabisa kutumia port ya Dar. Mganda atakuwa anapokea mzigo wake masaa 24 baada ya kutua Kenya.Tony mbona unapinga vitu vya wazi Karisa?, LAPSSET maana yake ni Ethiopia, South Sudan na Lamu Port, kwahiyo huu mradi umezilenga hizo nchi mbili, haukuilenga nchi ya Kenya hata kidogo, Hakuna bandari yoyote kubwa hapa duniani inayoanzishwa kwa sababu ya domestic uses. Bila Ethiopia na South Sudan, Lamu Port inapoteza uhalali na umuhimu wake.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app