Ushauri uliotolewa na Mwigulu kuwa wakurugenzi wa mashirika ya umma waombe kazi ajira portal, umeanza kufanyiwa kazi.

Ushauri uliotolewa na Mwigulu kuwa wakurugenzi wa mashirika ya umma waombe kazi ajira portal, umeanza kufanyiwa kazi.

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Sasa hivi ni mwendo wa ajira portal. Hakuna cha kusubiri uteuzi kama ilivyokua
 

Attachments

Tatizo inatakiwa taasisi reputable in recruiting
 
ivi ni mashirika ya umma tu au hata wakala mfano TARURA,TANROAD,TEMESA, au Authority kama vile TRA,LATRA, TAA,
 
Me naombeni kufahamu namna ya kuweka taarifa zangu kule ajira portal ikiwemo vyeti na nakala zingine, maana accout tayari ila sijaona hayo matangazo ya ajira
 
Hapo inabidi upate mtu ambae anajua ili akuelezeze usije ukakosea vitu
Ndio maana nimeomba msaada maana kama ni accounti nishafungua ila sifahamu zaidi ABCD , kuhusu ajira portal mkuu, hivyo kama unafahamu naomba maelakezo au mtu yeyote
 
Kwa hili namuunga mkono Waziri wa Tozo ila kwenye Tozo ni big NO.

Pia isije ikawa changa la macho
 
Back
Top Bottom