spongy
Member
- Feb 25, 2019
- 61
- 59
Habari za jioni wakuu, poleni na majukumu ya kila siku.
Jamani sikia, omba yasikukute. Baada ya kupigika na kupoteza mtaji wangu wote kwenye uchimbaji nilikuwa najishughulisha na uchimbaji madini chunya ambapo nilikuwa na mil. 15, nikanunua karasha nikuze mlima.
Baada ya uchenjuaji nimekosa dhahabu mara tatu na sehemu tatu tofauti wenyewe wanaita kuporora nimeona niliuze tu karasha nipate mtaji angalau niingie kwenye biashara.
Nahitaji msaada, ushauri, biashara ambayo ntakuwa natembea na mtaji mana hela niliyo kuwa nayo ni mil. 3.
Nahitaji niikuze haraka wakuu, nahitaji mawazo yenu sasa nataka nihamishie nguvu kwenye biashara.
Msaada jamani.
Jamani sikia, omba yasikukute. Baada ya kupigika na kupoteza mtaji wangu wote kwenye uchimbaji nilikuwa najishughulisha na uchimbaji madini chunya ambapo nilikuwa na mil. 15, nikanunua karasha nikuze mlima.
Baada ya uchenjuaji nimekosa dhahabu mara tatu na sehemu tatu tofauti wenyewe wanaita kuporora nimeona niliuze tu karasha nipate mtaji angalau niingie kwenye biashara.
Nahitaji msaada, ushauri, biashara ambayo ntakuwa natembea na mtaji mana hela niliyo kuwa nayo ni mil. 3.
Nahitaji niikuze haraka wakuu, nahitaji mawazo yenu sasa nataka nihamishie nguvu kwenye biashara.
Msaada jamani.