hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Cyber security kama ana akili ya kujiongeza..Habari wanajf.
Kuna rafiki yangu kachaguliwa kozi mbili vyuo vitatu, anaomba ushauri vipi a confirm.
1. Cyber security (Arusha)
2. Laboratory science in biotechnology (SUA na MUST)
Msaada tafadhari , ipi Ina soko Sana ama Ina unafuu kwenye upatikanaji wa ajira
kwanini cyber security mkuuCyber security
Cyber security na kwenda jela ni hivi [emoji116][emoji116][emoji116]
Eti kirahisi ๐๐๐Inategemea lakini Lab Science ni kitu kizur sana...
Kama ametoka familia duni, aende SUA akitoka hapo kaz anapata kirahisi sana...
1. TBS
2. TMDA
3. HOSPITALS
4.INDUSTRIES
5. PRIVATE LABS.
6. ENTREPRENEURSHIP
Hiyo nyingine sijui, wengi niliosoma nao Advance wanaishi miji mikubwa ndani na nje ya nchi kwa hiyo course..
Yes, ugumu wake nini...Eti kirahisi ๐๐๐
Asisome cyber. Hiyo kozi ni kama mvua za rasharasha tu, kama anataka ajira asome Biotech ni kozi mpya kwa tz na soko la ajira lipo. Lakini asisome MUST-chuo cha teknolojia asisome SUA, hao sua hata kilimo na ufugaji vilishawashindaHabari wanajf.
Kuna rafiki yangu kachaguliwa kozi mbili vyuo vitatu, anaomba ushauri vipi a confirm.
1. Cyber security (Arusha)
2. Laboratory science in biotechnology (SUA na MUST)
Msaada tafadhari , ipi Ina soko Sana ama Ina unafuu kwenye upatikanaji wa ajira
Sasa asome wapi?Asisome cyber. Hiyo kozi ni kama mvua za rasharasha tu, kama anataka ajira asome Biotech ni kozi mpya kwa tz na soko la ajira lipo. Lakini asisome MUST-chuo cha teknolojia asisome SUA, hao sua hata kilimo na ufugaji vilishawashinda
soma uzi kuanzia juuSasa asome wapi?
We si umesema asisome must au sua Sasa asome wapisoma uzi kuanzia juu
Arusha technical college wanafundisha kama abroad amini nakwambia fuatilia fanya research kwa wanaosoma apo watakuambiaWe si umesema asisome must au sua Sasa asome wapi
Mkuu habari yako! Nimemaliza BSC. Biotechnology and laboratory science sua mwaka huu, unaweza nisaidia wazo au connection yeyote kutoka kwa jamaa zako kama hautojali ๐๐พInategemea lakini Lab Science ni kitu kizur sana...
Kama ametoka familia duni, aende SUA akitoka hapo kaz anapata kirahisi sana...
1. TBS
2. TMDA
3. HOSPITALS
4.INDUSTRIES
5. PRIVATE LABS.
6. ENTREPRENEURSHIP
Hiyo nyingine sijui, wengi niliosoma nao Advance wanaishi miji mikubwa ndani na nje ya nchi kwa hiyo course..
Kama Upo Dar,Mkuu habari yako! Nimemaliza BSC. Biotechnology and laboratory science sua mwaka huu, unaweza nisaidia wazo au connection yeyote kutoka kwa jamaa zako kama hautojali ๐๐พ
Nipo dar kwa sasa, nimelipenda hilo wazo lako la salesKama Upo Dar,
Na unapenda kaz ya kuuza Dawa, kwa kuanzia
Andika CV yako vizur .. peleka. Sehem hizi..
Salama, Heko, Astra, Bahari, Abacus, Core, wambie untafuta kazi ya Sales.... Upo tayar kwa training na kuanza kazi...
Kama hupendi sales,
Nenda physically TBS, TMDA,Viwanda vyote vya Maji na Chakula (GSM, Hills, Afya, Bakheressa etc) wambie unataka kujitolea...
Ukishindwa kabisa ni PM..
Mungu akutangulie.