Ushauri unahitajika kuhusu Mashine ya kusaga na kukoboa

Ushauri unahitajika kuhusu Mashine ya kusaga na kukoboa

Joseph Gadiel

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2022
Posts
407
Reaction score
713
Wakuu habari,

Ningependa kuomba ushauri na mawazo ya kibunifu kutoka kwenu nifanyeje ili niweze kuongeza uzalishaji kwenye mashine ya kusaga na kukoboa?

Mashine hii mwanzoni ilikuwa ikiingiza walau chochote kitu lakini location iliyopo zimeongezeka mashine zingine mbili hivyo hali imekuwa mbaya sana, kwa siku unaweza kusaga na kukoboa unit 5 tu! Kila unit moja inaingiza 1350 hapo bado malipo ya mhudumu sh 3000 kwa siku, Hivyo imekuwa ikiingiza hasara.

Natanguliza shukrani
 
Fanya bure. Mtu asiondoke na pumba. Au bei shusha ila pumba isiondoke.
Uza hiyo pumba au lisha wanyama wako.
 
Kuna jamaa humu ni mtaalam wa hizi mambo.
Sina uhakika nafkiri anaitwa Hivi punde .(kama nmekosea nisamehe mkuu).
Jaribu kucheki nae akupe one two.
 
Wakuu habari,

Ningependa kuomba ushauri na mawazo ya kibunifu kutoka kwenu nifanyeje ili niweze kuongeza uzalishaji kwenye mashine ya kusaga na kukoboa?

Mashine hii mwanzoni ilikuwa ikiingiza walau chochote kitu lakini location iliyopo zimeongezeka mashine zingine mbili hivyo hali imekuwa mbaya sana, kwa siku unaweza kusaga na kukoboa unit 5 tu! Kila unit moja inaingiza 1350 hapo bado malipo ya mhudumu sh 3000 kwa siku, Hivyo imekuwa ikiingiza hasara.

Natanguliza shukrani
1. Una mahindi yako hata gunia 2?

2. Boresha ubora wa unga kwa kubadili chekeche, unga uwe msafi, punguza upotevu wa unga wakati wa kusaga.
 
Wakuu habari,

Ningependa kuomba ushauri na mawazo ya kibunifu kutoka kwenu nifanyeje ili niweze kuongeza uzalishaji kwenye mashine ya kusaga na kukoboa?

Mashine hii mwanzoni ilikuwa ikiingiza walau chochote kitu lakini location iliyopo zimeongezeka mashine zingine mbili hivyo hali imekuwa mbaya sana, kwa siku unaweza kusaga na kukoboa unit 5 tu! Kila unit moja inaingiza 1350 hapo bado malipo ya mhudumu sh 3000 kwa siku, Hivyo imekuwa ikiingiza hasara.

Natanguliza shukrani
Last option: Survey Kijiji kilichounganishiwa umeme wa REA recently, then kafunge huko. Utapata pesa.

Kuhamisha biashara si jambo geni
 
Usisahau Kwa Sasa Hali ya uchumi sio njema. Na ukizingatia unayemtegemea ni mwananchi wa hali ya chini.

Panua biashara weka genge Kwa nje. Uza pumba, huko kuku wengi uza kuku hapohapo na ukizingatia chakula unacho hapohapo.

Panua panua Mzee uingize Mali.

Hapo unahitaji usafiri weka bodaboda yako Kwa nje, itabeba mizigo ya wateja na abiria.

Kuna kichwa Mzee. Think out of your mind
 
Back
Top Bottom