Ushauri unahitajika kwa dada yetu

Thread closed
 
Ukiachika utapata stress mara mbili ya sasa 😂 maana hio furaha unayohisi utaipata kwa mchaga hutakaa uione zaidi ya majuto. Anasubiria uachike ili akuburuze vizuri na hatakuoa hataa...

Ataenda oa mtu wake mpya ili unyooke.
 
Wewe hujitambui.
 
Nyatyo unaonekana una nyota kali ya usaliti na kutokuwa mvumilivu.
 
  • Je hii simulizi mzazi wako (mama yako, baba yako au wote mama na baba ) wanafahmu?
  • Iwapo kama hawafahamu basi ni wakati sahihi sasa kuwaeleza/ kuwasimulia kwa kina.
  • Na upokee kama ulivyo huo ushauri utakao pewa na wazazi.
  • Hakuna ushauri bora zaidi utakao weza kuupata, kushinda ule ushauri utokao kwa wazazi wako wapedwa.
Kila lakheri
 
Kurudi kwa ni kosa kubwa sana.

Muangalie CR7 anayopitia
 
Tumia akili basi. Wewe ulichukuliwa nyota au uliuliwa ukafufuka .?
 
Pole sana dadangu,Ila najuwa Huwa nakupenda kimya kimya.
 
Kweli kazi unayo upo kwenye wakati mgumu. Nimekos cha kukushauri...
 
Nashauri mchaga asikuoe kwa sababu watu huwa hamjifunz kutokana na makosa
 
Hii ni situation ya mabinti wengi mna haraka sana kama vile mnakufa kesho

Chukua kikombe kivunje then kiunganishe kama kitakuwa kama mwanzo

Unataka kuolewa na mtu uliyemuumiza moyo wake tena akafikia kukonda kwa ajili yaki

Dare it
🤣🤣🤣Huyu hajielewi,yani alimpenda sana mchaga,alafu akaja jamaa anataka kumuoa haraka haraka akakubali,lakini moyo upo kwa mchaga

Yupo ndoani na ameshazalishwa tayari mume na wake,saiv anajuta anamtaka tena mchaga mpenzi wake wa mwanzo amuoe tena?
Hana akili,kama alimpenda mchaga wake kwa nini alikimbilia kuolewa mwanzo?hawanaga maamuzi hawa mabinti.

Yeye apambane na furushi lake tu😀😀
 
we endelea kukitembeza tafuta na muha mnyaturu na mkinga wote uzae nao
 
Leo soma ushauri fanya unachopenda
Bye
 
Binti yangu unafanya uzinifu kwa kiwashirikisha ndugu zako mpaka wachungaji.

Umezini na kijana wa kichaga (kama ndiye wa Kwanza kwako) basi huyo ndiye mumeo sahihi, huyu mwingine ulienda kutokana na tamaa na uroho wa NDOA!.

Ulimuacha mumeo halali anayetakiwa na Mungu
Proverbs 5:18 ukaenda kwa mume wa karatasi na wachungaji, mume au mke ujanani ni yule ambaye mlianza naye show!.
 
Achana na mchaga wabahili hao njoo hapa kwa msukuma maziwa yapo ya kutosha.
Maziwa tu? je hela? nyie wauaji tu hamna lolote hamjiaminigi? mnamlaa mtu Kwa wasiwasi ni kula Kwa amani chakula ni chako jinafasi kikiliwa ni bahati mbaya sana
 
Ukute mchaga bado ana hasira na wewe anataka kulipiza kisasi!!!
Mara uachane na chapombe wako mchaga nae aingie mitini!!!?

Fanya kile kitacho kupa amani my dear.... Ushauri wa wengi umeuona amua kusuka au kunyoa
 
Huna uvumilivu kabisa linda ndoa yako utaishia pabaya na huyo mchaga wako hapo amerudi kulipiza kama hujuwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…