Ushauri unahitajika kwa dada yetu

Karma is a bitch na mchaga wako ni mpumbavu mmoja hivi numero uno….shortly wote akili hamna mnaongozwa na hisia
 
"Mwanamke ni kiumbe dhaifu,ishi nae kwa akili"asema Bwana wa Majeshi!
 
Ww msimbe tulia jua limeshazama hilo[emoji849],umekua single mama kwasababu ya ujinga wako,kwanza nyie wameru wa kisenge wakata barabara kwanza mlilaaniwa na wale wamisionari mliowaua

Mhm
 
Wanawake wengi wa kizazi cha bet pawa, wamekosa uvumilivu katika ndoa, Mimi nasema unachokitafuta utakivuna hivi punde.
 
[emoji848]focus na ndoa yako ,huko kwa mchaga unafosi tu kupendwa ,ni vile akili yako haitaki kuukubali ukweli.
Komaa na mumeo alikuheshimisha ,ni zamu yako now kumrudisha kwenye mstari..kwa maombi au vyovyote vile ili mradi umlinde na usimamie nafasi yako kama mke .
 

Shukurani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…